Mwl kujua ni mwanafunzi gani anahitaji msaada zaidi ili aelewe kile mwl anachokusudia ni kazi ngumu maana hata haoni sura ya mwanafunzi usoni kujua kama anafuatila kile kinachofundishwa ni shida Ile dhana ya facial expression mwl hawezi ona
Kulingana na maneno ya mwenyezi Mungu mtu Akifa na akazikwa siku ya ijumaa hatapata adhabu ya Kaburi so kuna Raha yake mtu kuzikwa siku hiyo kulingana na Imani inavyosema
Hivi mtume alikuwa na wake
wangapi na bi khadija wakati anamuchukua mtume kuwa mke wake wakati huo mtume alikuwa anaishi wapi vile?
Uislam mwanzilishi wake alikuwa na wake wangapi? Mbona nyie waislam hamfuati ya mtume wenu yeye alikuwa na wake kumi na mbili na zaidi
Kwanini nyie muishie wanna...
Jiulize tu muanzishi wa uislam si alikuwa mfanya kazi wa ndani
Amshukuru bi khadija aliyemsaidia kwa kufanya kuwa mine wake
Historian ya kuanza kwa uislam inashangaza sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.