Wewe hujui chochote. Ni mjinga tu kama wajinga wengine wa namna yako. Usipende kukashifu dini za wengine. Kama hujui jambo bora kukaa kimya. Yo not civilized.
Sasa jamani kuilaumu CCM ni kukosea. Wewe kama una akili timamu utahongwa vipi?
Kuna jarida moja liliandika watanzania tunatumia asilimia moja ya akili zetu. Sasa unategemea nini hapo kama kureason hatuwezi?
Sio kweli mkuu! Labda akili za kujua kusoma na kuandika tu na sio akili ya kutafakari. Utafiti unaonesha watanzania wanatumia asilimia moja tu ya akili zao. Na hawa ni wale wasomi kiasi, sasa walioko huko, ni shidaaaa
Binafsi nadhani chama kiwe kinateuwa mbunge mwingne pale mtu anapojiuzuru badala ya kurudia uchaguzi. Kuna wakati wapiga kura wanachagua chama na sio mtu wakiamini hicho chama kitawasaidia. Mfano Ujerumani wanafanya hivyo, na mambo yao yako yako vizuri tu. Unadhani huko hakuna demokrasia? Mi...
Hili Taifa bado masikini sana. Sio wa mali tu bali wa fikra na hata akili zetu hazifanyi kazi vizuri.
Inawezekanaje wabunge kujiuzulu hovyo hovyo tena kwa sababu za kijinga halafu tume iitishe uchaguzi mwingine sababu ya mjinga mmoja? Wastage of resources. Mi nadhani itungwe sheria, mtu...
Sio kweli kaka. Inavunja watu mioyo ya kufanya kazi. Watafanyaje kazi bila kuwepo na fair decisions? Hatuwezi kwenda popote kama taifa.
Aseme majina yake aendelee na kazi zake. Kuliko kukaa na cv ambayo huna mkuu. It’s sad frankly speaking.
Akili haiko sahihi. Yaani kudai katiba ni usaliti? Kwa nani kwa mfano? Au unaandika kujifurahisha tu? Una maandishi ya kichochezi sana wewe. Jaribu kuwa mzalendo basi. Rais wetu atakaa muda wa miongo 2 then anaondoka. Kwa sababu katiba iliyopo inawaumiza wananchi ndo maana inaombwa. Kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.