Kwako Super women 2
Pole sana na hongera pia mdada kwa yote, ila kubwa kabisa ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo jema maana kumbuka haya maneno
"God knows you are tired. God knows the situation you are going through. But you must also know that God WOULD NEVER place you in a situation (in this...
Faiza fox......
Unavyojadili hilo la idadi ya majengo pia uangalie na idadi ya hao wanafunzi. Kipindi cha mkoloni hadi cha Mkapa hakukuwa na watu/wanafunzi wengi kama kipindi hiki. Sasa lazima ujiulize kama idadi hii ya hizo shule ingejengwa kipindi cha nyuma....wangetumia wanafunzi gani?? au...
huku sasa ndio sehemu muafaka kwa poliai na wanajeshi wetu kwenda kutekeleza sera ile ya pinda aliyosema bungeni......nami ntawaunga mkono 100%.
jipangeni sasa
Kwa jinsi alivyojibu hayo majibizano....hata akivua hayo mavazi ana tofauti kubwa sana na watu "wenye akili", yaani anabaki kuwa kama mtu aliyeondolewa ile portion ya ubongo inayo-control kufikiri na mambo ya busara na hekima.
Rav4 New Model for sale.
Year- 2001
Automatic Transmission
Mileage- 120,000km
Engine- 1AZ
Reg- T --- B..
Excellent running condition
In Tanzania since 2010
Price- 17,000,000 Mil ( negotiable for serious buyers only- PM me)
Contract Enslavement of Female Migrant Domestic Workers in Saudi Arabia
and the United Arab Emirates
By Romina Halabi
Slavery was not abolished in Saudi Arabia until 1962, and in the United Arab Emirates (UAE) until 1963. It is unsurprising, then, that contract slavery of domestic servants...
Nimetafakari sana hili bila kuwa na jibu;
Hivi ni kwanini tunazuiwa kutoa maoni ya kuhusu katiba mpya bila kutaja UMRI, MAJINA KAMILI NA JINSIA???
Kwanini UMRI? kwanini MAJINA KAMILI? kwanini JINSIA?
Ni kweli ni vitu vya lazima?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.