Just two games to go with city leading on goal difference,by believe it or not the BPL trophy will lend at the thieter of dream.see you on the 13.05.2012
Acha ubwege wewe,kwani tarehe 12 january huwa nia sherehe ya mapinduzi ya zanzibar au tanzania visiwani.wao wanasherekea mapinduzi ya zanzibar na sio mapinduzi ya tanzania visiwani kwanini sisi isiwe miaka 50 ya uhuru wa tanganyika? Acha kujipendekeza wewe.
Chadema Union presidential candidates Dr. Wilbroad slaa,yesterday defended his intimate relationship with one Ms Josephine Mushumbuzi,saying the woman was his legal wife.
Dr. Slaa, a former Roman Cathoric priest also confessed publicly that he had an affair in the past with another woman with...
hakuna kitu hapo,no quality no what, mambo yote fweeedha.asikwambie mtu madem siku hizi wanasoma sana alama za nyakati,ukija na tu-quality twako unadunda tu, hakuna demu **** siku hizi wa kuzingatia eti quality.
Mashabiki wa yanga ndani ya JF naamini mtakuwa na furaha kwa kuwanyoa sharubu watani zetu.
Yanga....mwaaaaaaaaaaaa....aaaaaa!
ebwana mfunyukuzi big up for your yesterday prediction. Yanga 3 Simba 1
Umeshajibiwa alipitishwa kwa mujibu wa chadema,unataka nini tena? we cha kuuliza ATACHUKUWA SAA NGAPI HIZO FORM NEC? sio kuhoji kama utaratibu ulifuatwa,we yanakuhusu nini? SUBIRI UONE KAMA NEC WAKIGOMA KUMPA FORM NDO UHOJI KAMA UTARATIBU ULIFUATWA AMA LA....!
mafao kiduchu msimbazi mkuu, hela za kuchangishana kama michango ya harusi ndo kocha alipwe atawezea wapi philly wa watu.
bora kaona ajiondokee akatafute dili zingine,bora akachimbe visima zambia kuliko vihela vya kuombana kama michango ya msibani.
For sure game itakuwa taiti sana,ingawa wajerumani wana advantage mbili, kwanza uwenyeji utawabeba, pili historia katk mashindano hayo inawabeba pia.
but i hope wanaija wakikomaa, we are going to win the trophy.
Taarifa iliyotolewa na vyombo vya habari usiku wa jana, kuwa mlinzi wa kimataifa wa Hispania na beki wa kutumainiwa wa bacelona Cales PUYOL amesema kuwa amefanya mazungumzo na kiungo wa kimataifa wa Hispania na ARSENAL CESC Fabriagas na fabrigas kuweka bayana kuwa hataondoka kwa washika bunduki...
Timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria jana usiku imefanikiwa kuingia katika fainali za FIFA za kombe la dunia baada ya kuifunga timu ya taifa ya Colombia bao moja kwa bila.
Nigeria sasa watacheza fainali tarehe moja mwezi August siku ya J2 na Timu ya taifa ya Ujerumani.
Naamini hizi ni Habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.