Pole sana kama haujui kuna video mbili moja ni siku ya mkutano wa CHADEMA wananchi baada ya mkutano wa mnyika walifanya maandamano huku wakimuimba zitto msaliti hii ndo umeiona,na ya pili ni siku zitto akuhutubia alizomewa hii nayo nitaiweka hapa.
kamanda John Mnyika alivyounguruma na kusindikizwa na maelfu ya wakazi wa musoma mjini siku ya jana,ziara inaendelea leo kwa upande wa musoma vijijini.CCM imebaki na SARE CHADEMA SERA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.