Umenichekeshajeee? Mimi ni mrefu so napenda kuwa na mtu anayenizidi urefu. Naamini hata wewe unavigezo vyako. Kunywa nimesema anaweza kuwa anakunywa lakini sio yule wa kunywa na kupoteza dira.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi mi mwanamke mwenye umri wa miaka 35, elimu degree 2. Nimeajiliwa, dini mkristo. Mengine tutaelezana zaidi PM. Naamini Mungu anakutanisha watu sehemu tofauti na JF ni sehemu mojawapo. Kwa hiyo nami najitokeza kutafuta rafiki wa kumujari ambaye anaweza...
Mkuu Mwafrika pole sana inaumiza na inasikitisha sana miaka 50 baada ya uhuru, bado kuna watoto wanasomea katika mazingira haya. Bado huduma za jamii katika anga zote mijini hadi vijijini ni za kubabaisha.
Ni watanzania wabinafsi tu wanaofikiri kinyumenyume, wasioona kitu zaidi ya matumbo yao...
Hata mimi nikikutana nayo nayachana tu, hawana mpya. Uongo tu na kulaghai wadanganyika na wizi wa kura ndo sera zao! Hivi watu hawamjui rais wao mpaka wabandikiwe mabango kumuchagua kama ametekeleza ahadi zake?? Maana wanasema ilani wametekeleza, sasa hofu ya nini na mabango kibao?
Kibaya cha...
Hii ni babu kubwa nimeipenda, haya mambo ni mazuri yametulia, ushauri wangu kwa CHADEMA, kwenye Kampein zenu tumieni lugha rahisi ya kawaida kabisa isiyo na misamiati migumu ambayo wananchi wa kada zote watawaelewa mnachotaka kufanya pindi mkiikamata hii nchi (Lugha iendane na kundi la watu...
Mkuu Mbogela umeona mbali, asante sana ....kwa kuwakumbusha, CHADEMA wanatakiwa wawafikie wapiga kura wa kada zote, wakumbuke biashara ni Matangazo.
Wakumbuke pia kuwaambia wapiga kura kwamba kuchagua upinzani siyo kuchagua vita, maana chama cha mafisadi ndo mtaji wao kudanganya wananchi amani...
Wakuu msilalamike sanaaa MOD wanafanya kazi yao ambayo ni ngumu, nawapongeza kwa hilo. Nadhani wanatoa na kudisha vitu kulingana na sababu.
Haki ya mtu haizuiliwi(huwezi kuzuia), ila unaiweza ukaicheleweshwa tu. Hii haki ya wanajamii hapa janvini kupata/kutoa habari ya aina yoyote ile.
Mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.