Ushamba tu unawasumbua utopolo... Preseason ina malengo mengi kubwa likiwa team kujiandaa na msimu mpya ila mengineyo yanajumuisha kubadilisha hali ya hewa, relaxation ya wachezaji na benchi la ufundi. Kiufupi ni aina nyingine ya Holiday kwa wachezaji na benchi la ufundi... Endeleeni kujifungia...
Sema Mnapendaga kujitoa akili sana... Kabla hata ya kuuliza kama walitoa taarifa Jiulize Nusrat Hanje alieyekua Jela alitolewaje usiku gerezani na kwenda kuapa bungeni! Hujiulizi kwa nini COVID 19 wamefungua kesi chadema hawakupewa summons? Je mawakili wa serikali wanawatetea kina Mdee kama...
Pasco bana... huyo apakwe mafuta na nani? ogopa sana sponsor kufariki! Bashite analipia yote aliyoyafanya kwa mgongo wa madaraka na kukingiwa kifua na yule dikteta wenu ambaye mungu aliamua kutuponya nae! Naona bado mnaomboleza
Aisee kama ni kweli huu ni ukatili wa hali ya juu sana! na serikali za mitaa zipo, diwani na mbunge wote wapo.. Mkurugenzi mwenyewe akipima ardhi hauzi kwa bei hiyo iweje mkubaliane na wawekezaji fidia za kinyama na kinyonyaji hivyo? Wenye access na Mama Samia wamfikishie hii clip atume watu...
Ben Saanane
Mwangosi
Kupigwa Risasi Lissu
Korona
Makondakta
Miili kuokotwa kwenye sandarusi cocobeach
Bastola hadharani kwa Nape
Uvamizi Clouds
Uchaguzi/uchafuzi wa 2020!
Jikite kwenye hoja.. na hoja ni kwamba washatakiwa hawali mchana kwa miezi tano, je hiyo ni sawa? hayo mambo ya nani na nani kaleta hoja au kusikilizwa na hakimu sio muhimu! tuna watu wa ajabu sana nchi hii..
Kwa hiyo Pasco unatuambia kwamba kila mtu anatakiwa kua CCM? tukishakua ccm wote then itakuwaje hii nchi? maana kama hata wasomi wenye weledi kama nyie mnasifia tu hata ujinga sijui nani ataisemea hii nchi... huyo jamaa aliharibu nchi huo ndio ukweli haya mengine ni ubatili na njaa zenu...
Huyu Mbunge nae hamna kitu kabisa, issue sio daladala..ni kwamba daraja la Kigamboni ni Huduma kama Huduma nyingine wananchi wanatakiwa kupita Bure kabisa maana nao wanalipa kodi kama wananchi wengine...kwa nini wananchi wa kusini hawalipi kuvuka daraja la Mkapa? Kule Mwanza wanajenga daraja...
Kwamba unataka tujilinganshe na Durban? Durban na Cape town ni miji ya kibeberu japokua ni africa hii hii...na imejengwa na mabeberu kutakakuilinganisha dar na durban ni kuikosea heshima nchi yako.. wakati durban inajengwa sisi huku tunahangaika na unga wa manjano ili wananchi wasurvive
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.