Natafuta eneo la kukodi nifungue pub
Sifa ya eneo
1. Mvuto kwa mteja
2. Zuri kwa hiyo biashara
3. Unafuu wa kodi
4. Liwepo dar , mwanza , mbeya ,iringa ila napokea ushauri kwa mkoa mwengine wowote
Wewe huna akili hata kidogo ulikuwa uitwe kafirwekwanza sio fiikiri kwanza jua kua hakuna chanzo chochote cha mapato ya Tanganyika kitachopatikana na kutumika Zanzibar ila kuna cha Zanzibar ambacho kinaweza kisitumuke Zanzibar badala yake kikatumika Tanganyika mfano : misaada kutoka nje
Habari waungwana,
Wadau Mimi ni masikini ila kwa kipindi hiki nimebahatika kupata tzs 4,000,000 natamani sana niizalishe sijui niizalisheje naomba ushauri wenu nifanyeje?
Natanguliza shukraan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.