Ndio unaweza kutumia power of mind kupata pesa, kuwa tajiri, kusafiri nk bila kusahau kuwa na furaha ya kweli. Visit https://www.thesecret.tv/ na usome kitabu cha The Sicret by Rhonda Byren
The ICT Company Providing wide range of ICT solutions to meet your entire business and personal needs. Our goods and services are backup up with warranty and after sale services. Our products include sales, repairs and maintenance of computes, printers, photocopiers and office machines...
Hakuna haja ya kuwa na mwenge kwakua umekua ukiwashwa na wala haukusaidia kufika malengo ya kumulika maovu na kuleta matumaini. Mwanga wa Mwenge ni ishara, lakini ishara hii inaligharimu taifa muda na fedha.
Slaa hawezi kuwa na amani kamwe kwa dhambi ya kuvunja sacrament za kanisa:
Atubu amrudie mke wake wa kwanza na watoto wake. Yoyote amwachae mke na watoto wake na kufuata zinaa apata laana.
CHADEMA inahutaji uungwaji mkono na dini zote na kada zote, haimaanishi nafasi ya Zito ichukuliwe tu na mwislam ilimradi, bali ichukuliwe na Mwislam mwenye uwezo na wapo
Summay huyu huyu akiwa waziri mkuu na Mbunge alitetea na hatimaye kupitisha TAKRIMA huku akijua takrima ni rushwa, leo anajipambanuaje kuwa mpinga rushwa??
Nakupa pole za dhati, na upa umma wa kiislam pole na wote walioguswa na maafa yaliyokupata. Naungana na wapenda haki wote kulaani matumizi ya nguvu thidi ya yeyote anyekwenda kinyume na matakwa ya watawala. Naweza kutofautiana sana na wewe katika masuala kadhaa lakini kamwe sikuombei kifo wala...
Haja ya kuwepo kwa upinziani ni kubwa mmno, bila upinzani hakuna maendeleo, uwajibikaji na haki. Mageuzi yote tunayoyaona kisere, kiutendaji, kisiasa na hata kiutawala (mawaziri kujiuzulu nk) ni kutokana na uwepo wa upinzania imara. Kazi imebaki upinzani ushike madaraka na chama tawala nacho...
CDM ni lazima ijenge mtandao kuanzia ngazi ya familia, shina nk. CCM inajua inadi kamili ya wanachama na wafuasi wake kila mtaa/kijiji lakini CDM inategemea zaidi kampeni za jukwaani bila kua na uhakika wa kura za kuaminika.
Ukweli unabaki kuwa safu ya uongozi ya CCM imebadilika na mkutano mkuu wenyewe tu umeleta changamoto na kutarajia mabadiliko makubwa. Si sawa kuanza kuhukumu team mpya hata kabla haijaanza kazi. Hoja yangu ya msingi ni kua hata rangi za CCM zimekua kichefuchefu hivyo zinahitaji kubadilika.
Baada ya mageuzi makubwa ya kuleta matumani na matarajio ya kurudishiwa imani yake kwa wananchi wa kawaida, ili CCM ikubalike tena kuanzia ngazi ya chini, nashauri hata rangi zake za utambulisho kijani na njano zibadilike. Tuibuni rangi mpya ya matumanini kwani rangi ya sasa inahusishwa na...
Huwa anawasiliana na watu wa kawaida kabisa na kuwauliza hali ya siasa na upepo ukoje, watu wanasemaje kuhusu hotupa fulani au action fulani nk. hii ni kutokana na kua mfumo wa habari unaegemea upande mmoja, watu wake wanapenda kumwambia yale ambayo akiyasikia yanamfurahisha na sio hali halisi
Wanajamvi na kerwa na tabia ya TBC ya kurusha live mikutano ya CCM inayoendelea Dodoma huku kikiwa chombo kinachoendeshwa na kodi za wa TZ, hebu tutete kuhusu jamob hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.