Toka mmetoa hilo tangazo zaidi ya wiki 2 zilizopita, Kuna maeneo ya Jiji la Mwanza maji hayajawahi kutoka kabisa hata tone.
Hivi kweli tumefika Huku? mnategemea watu wanaishije mjini tena bila maji?
Inachukua muda gani kutengeneza Pampu ya maji? Kwenu hii sio dharura?
Nadhani mnahitaji...
Mi nafikiria tu Kwa sauti...
Hivi Kwa mfano Waarabu na Wamishenari wasingekuja Africa kututawala na kutuletea hizi dini, labda ingekuwa sie ndo tumepata maendeleo mapema tukawa tumeenda huko, Uislamu na Ukristo ungekuwepo Africa? Na sie si tungekuwa tumeweza kuwashawishi waache dini zao...
Safari imezinduliwa leo mkuu na hao uliowaona kwenye picha ndio waliosafiri, hao 6 ni wa lini? au umeshajua kwamba kesho na wiki ijayo watakuwa 6?
#nonsense#
Kongole sana kwenu kwa kurudisha na kusimamia ipasavyo safari za ndege hasa humu nchini. Ama kweli kazi yenu inaonekana.
Pamoja na hayo, au kabla ya kufikiria kuanzisha route zingine za kutokea Dar, ni vyema sasa mkaunganisha mikoa mbalimbali na kuwe na direct flights kama vile MWANZA-DODOMA...
Labda nimemfikiria vibaya, lakini alitoa mzigo(hicho kiboxi cheupe) akafungua akatoa kitu na kurudisha mzigo ndani ya ndege, wakati ikiwa inashusha mizigo ya Mwanza ili iruke tena iende Bukoba
BASATA ni chombo rasmi cha serikali ambacho kinafanya kazi kwa niaba ya serikali.
Leo wametangaza kuufungia wimbo wa Mwanza na kuwataka WCB wauondoe kwenye digital media zao zote.
Cha ajabu ni kwamba, badala ya kufanya hivyo wao ndio wanazidi kuutangaza tena kwa nguvu zote kuliko hata...
Hi
Hili shirika tatizo bei ziko juu sana! Wangeweza kupambana na mashirika kama KQ au ET kusafirisha abiria wengi waafrika wanaoenda Ulaya, US na ASIA! ila wao naona wanalenga mapedejee tu ndo maana sales zinapungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.