wengi mnaojadili humu mnajadili kwa upana mdogo sana, lamsingi madfaktari waangalie mipaka ya majukumu yao, wao ni wataalamu, hawawezi kumpangia Raisi nani wa kumpa wizara na nani wa kumtoa, na Raisi akiwakubalia matwakwa yao ya kuwaondoa mawaziri atakuwa hajatumia busara, nawasihi madaktari...
Nawashauri ndugu zangu wa CDM waizoee nafasi yao ya kuwa wapinzani, kwani ndiyo inayowafaa. Hawatafanya vizuri wakiwa watawala, sababu ni kwamba hawaoni mazuri ya wenzao na siyo wavumilivu, kwa anayetaka ushahidi ataona baada ya muda mfupi tuu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.