Kwa muda mrefu nimekuwa ni kijiuliza kuwa ni msichana wa namna gani ambaye naweza kufanya mahusiano naye?
Hii ni kutokana na kuchoshwa na tabia za wadada wengi ambao ukijichanganya ukafanya nao mahusiano ujuwe wazi upo kwenye tabu ukilingamisha na raha atakayokupatia pindi unapomhitaji.
Ukiwa...
Ni kweli kuna wanawake wagomvi, ila tabia hiyo inaweza kuwezekana ikiwa mwanaume ni dhaifu na ameonesha udhaifu toka mwazo. Mwaka fulani nilishuhudia bwana mmoja wa makamo akicharazwa fimbo na mke mdogo huku mke mkubwa akishuhudia. Chanzo ilikuwa mke mdogo alienda matembezi bila muwewe kujua...
Mimi wakitangaza shule zinafunguliwa waende tu maana hata sasa hakuna kinachozuia wasipate, mpira kwa sana, barakoa hazivaliwi nimekemea mpaka najishtukia, waende tu maana ni rahisi sana mazingira ya shule kuwakinga ukilinganisha na nyumbani ambako mara nyingi wazazi tunarudi usiku. Sijui kwa...
Itakuwa ni maajabu kama balaza halitakuwepo wakati watu wamejazana kariakoo kutafuta nguo za sikukuu ya eid, wanaohusika wafikirie tena haya mambo, watafiti athari zilizopo mpaka sasa kwa waumini, wapime maambukizi mpaka sasa kwa waumini ndiyo wajiunge kwenye mkumbo. Hili jambo Africa...
Kwa sasa ni kiza kinene, tena kibaya cha kutisha, wengi wetu bado hatuamini au kupima ukubwa wa tatizo na madhara yanayokuja. endapo hali hii itaendelea kwa niezi mitatu ijayo. Hivi itakuwaje pale ambapo hakiba iliyopo imeisha na hakuna mbadala? Tutajipanga sokoni kugombania vyakula kama nchi...
Unajua ni vema ukatumia akili ingalau kidogo ili kujibu, taarifa za awali ni muhimu kama uhalifu unatokea, mtu aliyetumwa kutoa taarifa alikuwa na vitambulisho, alikuwa namba za mmiliki wa kadi kikubwa ni kujiridhisha, kwa hiyo kutoa taarifa za kuzuia uhalifu usifanyike dhambi? ndiyo maana afisa...
Nimesikitishwa sana na uzembe ambao Maofisa wa NMB- BANK HOUSE wameufanya na kusababisha wezi waliopora begi la kijana wangu pamoja na kadi ya Bank ya NMB wapate mwanya wa kuiba hela kwa kupitia kwenye ATM. Tukio lenyewe ni kuwa jana tarehe 27/02/2020 muda wa asubuhi kijana wangu aliporwa begi...
Kipindi hicho tupo chuo nilikuwa najaribu kujua uaminifu wa mpenzi wangu, hivyo nilitumia line ya simu ambayo haijui kutuma ujumbe wa kimapenzi nikijifanya ni ex-wake (wa zamani). Nilianza kwa kutuma ujumbe wa salam naye alijibu 'nami mwenzangu? nilimjibu kuwa mimi ni Dani (jina la ex wake)...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijaribu kuona kama wanawake wanafanana kwenye maumbile au ladha nk. Nilichogundua ni kuwa ipo tofauti kubwa sana kwenye maumbile. Sio kweli kuwa radha ni ile ile wala usije ukadanganyika kuwa wanawake wote mambo ni sawa.
Kwa nyakati tofauti nimewasikia wanawake...
Hamasa kwenye mapenzi ni moja ya mambo muhimu ambayo yanaweza kumfanya mwanaume azuzuke na kunasa kwa urahisi kwa mtu wake. Wanaume wengi ambao wanatabia za kuchepuka wanajua fika kuwa michepuko mingi inahamasa nyingi sana kuanzia miguno, mitindo na mbwembe za kila aina. Ni kawaida sana kwenye...
Mimi nanaona imekuwa ni kawaida sasa, kufika eneo la tukio halafu mechi kuahirishwa: Mara ya kwanza ilikuwa Mkoa fulani hivi ambapo tulikubaliana tukapige show, tuliingia vizuri tukapata chumba safi nikiwa nimeshalipa gharama husika, kwakuwa kulikuwa na mechi ya mpira baadae kati ya Yanga na...
Inawezekana kusiwe na sababu za msingi, ila ninachojua kwa wanaume kwa kiasi kikubwa hupenda kuangalia hizo picha, sababbu za kwanini wanapenda kuangalia zipo tofauti ila sidhani kama ni sahihi kubaini tabia ya mtu kwa kuwa tu amekutwa na video za x.
Huelewi!! hivi mwanamke wako akikuambia hii mimba sio yako au mtoto sio wako wewe kama mwanaume unaweza kumlazimisha? kama hujui mambo ya wanawake nyamaza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.