Yale Yale ya wakina Abdallah Zombe kwa wale wafanyabiashara ya Madini wa Mahenge.
Jeshi letu la Polisi Nchini,linaongoza kwa uhalifu....
Katiba mpya ndio Suluhu ya haya madhira
Kwa hiyo kilimo ni shughuli ya watu walioshindwa maisha ya utafutaji mijini?
Hii dhana ya kipuuzi mno,na haipo kwa watu wa chini (wa Aina Yako ) tu Bali Hadi juu kwa Watawala.
Sijapenda
Ndugu, hiyo ni kwa sababu Serikali ya Magufuli kwa karibia miaka miwili mfululizo haikupeleka fedha za ununuzi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi huko mahospitalini.
Hivyo, badala ya yeye kwenda kukemea hilo, apeleke kwanza hizo fedha
Niwashauri tu mnaotumia hiyo barabara,ili kukwepa hicho kipande Kama unatokea NIT kuelekea Magomeni tumia njia ya Mpakani shuleni Hadi Tip top,then ingia Moro road... Na Kama unaelekea Ubungo,Sinza Rudi Hadi Mabibo mwisho then uingie Kigogo road Hadi pale Shungashunga , then Shekilango ama...
Ndugu, hii kauli ya eti "ni wito" isiwe kisingizio Cha kuminya maslahi ya hao watu, tambua na wao Wana familia za kuzihudumia.... Wito bila utulivu wa fikra haiwezekani.
Cha msingi ni kwa sisi Wananchi tunaoumizwa na hayo badala ya kuwalaumu watoa huduma hao, tuishinikize serikali iboreshe...
Ishinikizeni Serikali iboreshe maslahi ya watumishi hao, iboreshe pia upatikanaji wa vitendea kazi alafu ndio uwalaumu.
Hao unaowalaumu kwa uzembe hapo ( kwe hospitali za umma) ndio hao hao wanatumiwa na hospitali binafsi ambazo unasifia huduma zao.
Umemaliza yote Mkuu.... Inasikitisha Sana kuona Watanzania wenzetu wakishupaza misuli ya shingo kuwalaumu Watumishi wa imma wa nchi hii huku wakishindwa kabisa kuwasapoti kudai hayo maslahi yao..... Mwaka wa sita Sasa bila maboresho ya maslahi yao,na Kuna maeneo mengine huko kwe hospitali za...
Watumishi wa imma wa nchi hii ni bure kabisa, wengi wao wamejawa woga, ubinafsi na unafiki mno... Wanashindwa kuitambua nguvu kubwa walio nayo.
Lakini hiyo yote ni matokeo ya mfumo wetu wa elimu unaotumika "kuwapakaza" ujinga wahitimu badala ya kuwafuta.
Hilo tishio la usalama Serikali ituambie,ni kutoka wapi? Mbona hatukuwahi kuambiwa kabla ya leo kuhusu hayo matishio?
Wawe wazi tu ugonjwa wa Korona bado upo na tuna kesi kadhaa mahospitalini kimya kimya
Naona tunarejea makosa Yale Yale ya miaka ya mwanzoni baada ya Uhuru, ya kutaka serikali kuhodhi shughuli zote za kiuchumi.
Tunakwenda kufeli tena Kama Taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.