Unazungumzia "wasomi" wa Mzumbe au Tanzania nzima? Mimi naona nguzo ya Slaa ipo kwa mwananchi wa kawaida zaidi!! Kwa uamuzi huo wa hao "wasomi" wa Mzumbe nadhani naanza kukubaliana na jamaa zangu waliokuwa wanajadili kiwango na uwezo wa upembuzi wa mambo kwa wasomi wa vyuo vyetu....wangeuka kuwa...
Mkuu kwa Card za hapa bongo ukiacha (Mastercard ya Exim Bank) unaweza kutumia (VISA CARD) popote duniani, tatizo lake charge zak eziko juu sana kuliko ukifanya transactions kutumia card za benki za nje ya nchi hapa nyumbani! Jambo jingine hapa kwetu mitandao ipo slow sana, kwa transaction nje ya...
Wakuu habari za leo;
Jana niliweka post kwamba tunahitaji msichana kufanya kazi za secretarial, nashukuru kwa maoni ya wadau kadhaa tumefanikiwa kumpata mtu.
Kampuni yetu ni ndogo na ni mpya lakini tumeadhimia kuiendesha ki-sayansi zaidi kwa lengo la kutoa huduma bora kabisa kwa wateja wetu...
WAKUKAJA nakushukuru! Nitumie details kwa email niliyoweka hapo, nifanye mawasiliano moja kwa moja. Maybe I'll pick one of them tukielewana.
Asante sana
Nyepesi nyepesi zilizonifikia ni kwamba JK ameamua kutoa USD 50,000,000 (za serikali, si zake) ili kununua MASTERING STUDI baada ya kushauriwa kwamba eti wanamuziki wa Bongo Flava wamekosa studio ya aina hiyo??.
NI KWLEI SERIKALI IMETOA DOLLAR MILIONI HAMSINI KUNUNUA STUDIO HIYO??
Tumeliwa...
Wana JF
Nahitaji MSICHANA mwenye uzoefu wa kazi za SECRETARIAL SERVICES.
Ofisi yetu ipo maeneo ya Mnazi Mmmoja, around CLOCK TOWER, Dar es Salaam itakuwa inajihusisha na kazi zifuatazo:-
All type of Secretarial Services (Typing, Phone & Fax Communication Services)
Photocopying, Printing...
Kaka kwa bei hiyo achana na hilo gari, uatadanganywa lakini ukweli unabaki palepale, aliyepanga bei anajua quality ya gari!! The higher the price the better the quality! Nissan hiyo hiyo inapatikana kwenye mitandao mingine kwa $4500 FOB.....
Kuhusu BMW anayesema hakuna mafundi ni nani? Ipeleke...
Jamani kuna nyingine hisemwi:
Pale Dubai April 12, 2010 Mheshimiwa Rais baada y akushuka kwenye ndege, akisubiri msafara wake uanze kuondoka (yeye akiwa ndani ya gari maalaum) walishuka abiria na wengi wakawa wanmpungia mkono mheshimiwa. Cha ajabu dada mmoja (Alikuwa anaongea sana kiswahili...
UKWELI:
Tanzanian star Haruna Moshi returns home from Sweden
By Emmanuel Muga
BBC Sport, Dar-es-Salaam
Tanzanian international Haruna Moshi has returned home to doubts...
Jamani nimesoma comment ya Chegge kuhusu perfomance yao pale Dodoma kwenye mkutano mkuu maalum wa CCM! Kuna neno Chegge amecomment kwenye Facebook kuwa "wamekinukisha" mbele ya JK.....!!
Kwa kumbukumbu zangu siku ya tukio JK alikuwa so excited, alikuwa anachekelea tu mwanzo hadi mwisho, hata...
Kwa CCM walichofanya ni kujidhalilisha kisiasa mbele ya dunia! Sijaona kwingineko duniani mkutano mkuu wa chama ukageuzwa jukwaa la muziki na burudani!! Walioalikwa ni wanamuziki wasiokuwa na upeo, wale ambao watafurahisha tu CCM bila kutazama kwa undani zaidi madhara ya muziki na sanaa yao kwa...
Baada ya wasanii wa bongo flava kumsifia sana JK na CCM yake kwenye kikao kilichomalizika juzi mkuu wa kaya ameamua kuwaita na kupata nao chakula cha mchana leo!!
Itakumbukwa baadhi ya wasanii wanajulikana ka staili yao ya mavazi na kujihusisha kwao na vitendo visivyofaa (si mnakumbuka TMK?? na...
Mwaka 2010 Tanzania inaingia kwenye mchakato wa kuchagua viongozi wake, kwa miaka mingine mi-5!! Wakati mwingine najiuliza sana nini umuhimu wa kujihusisha na uchaguzi wakati nchi hii haina demokrasia ya kweli na tayari tunawafahamu watakaotutatwala?
Kwa mfano pamoja na kwamba Kikwete...
Wananchi wenzangu, wapiga kura, wapigiwa kura na wapigwa kura 2010. Kuna tetesi zimezagaa kwenye kitaa chetu hapa uswazi, na jamaa wananihakikishia kuwa wamepata nyeti kutoka White House zote mbili (Dodoma na Dar). Hivi ni tetesi tu au ndiyo ukweli? Wanadai hivi:-
Eti CCM wamemnunua ZK...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.