tunawapa hongera kama haki imetendeka,pia hatuna budi kuwashukuru wana igunga kwa uamuzi wao bila kujali wamechagua masihara dhidi ya umakini.la muhimu sana msisahau hatukuwa na mgombea pale ila sasa tumepata k zenu zina hesabikaure elfu 22 tuempunguza gap la kutoka kura elfu 35 hadi elfu 26,kwa...
usitafute mchawi,cdm kiliunga mkono upinzani kwa lkipindi kirefu now wako juu na waneleweka kwa wananchi hamtaki kuwassuport coz nyie ni wabinafsi,mnapaswa kujiuliza sana,mwanzo wa mafanikio ni kujua chanzo cha tatizo
Huyo ni mtu mkubwa sana na msomi anayeshindwa jua maana ya demokrasia!tuliona mengi uchaguzi uliopita kama ubunge na udiwani matokeo yalicheleweshwa vile hakika kwa watu viongozi aina ya kina luhanjo ni vigumu sana kuacha kutokea kwa umwagaji wa damu!kwasababu hawataki kuheshimu matakwa ya umma...
mwenye akili timamu anajua mvuta bangi ni nani kati ya ccm na chadema,maendeleo hayatangazwiwau hujionea wenyewe,mkishashiba na kuongeza vitambi vyenu kama anavyoonekana huyo lusinde ndio miropoko inakuwa mingi!shibe ndio inakufanya uropoke!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.