Hii list haijakwenda shule maana muandaaji naona hakufanya utafiti wa kutosha wa hii kitu, maana amekaa kwenye computer yake Dar na kwa kuwa yeye anaamini hivyo anataka na sisi tuamini hivyo, mkuu fanya utafiti ndo uje na list sio kuifikiria tu kichwani, sina haja ya kupambanua zaidi maana wadau...
Hivi jamani, kuna mtu amesema ameona kwenye facebook mtangazaji huyu anataka kugombea ubunge Iddi Ligongo, nikafuatilia na sikuona dalili hizo hata kwenye vyombo vya habari sijaona, sasa nataka kujua ni kweli kama mmesikia na hivi sasa jamaa yupo wapi, maana hata luningani simuoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.