Huna ujualo unaongozwa na chuki. Kama sasa hawana nguvu tena mbon vita mpaka sasa havijasitishwa sababu ikiwa bado malengo hayajafikiwa.
Hivi unajua kwa miaka zaidi ya 16 wamekuwa wakiishi ndani ya gereza kubwa duniani wakiwa under total blockage? Na wamekuwa wakiuwawa kila wavamizi...
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati...
Nonsense. Nilidhani utakuja kwa takwimu kumbe ni maelezo ya jumla. Tutajie kukua kwa pato la Taifa ongezeko la ajira miundombinu FDI . Mapato ya nchi. Demokrasia nk. Twende kwenye hizo parameters na njoo tena na ulinganishi mzuri
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Maharage Chande ni moja kati ya visionary leader na rekodi zinambeba. Tangu akiw Vodacom,NBC na DSTV. Very unfortunate kwa TANESCO it didn't work that good. Labda alihitaji muda zaidi ila the public outcry ya power outing ilihitaji immediate attention...
Wewe kweli Nyani..na ule msemo wa Nyani haoni kundule una kufaa kabisa.
Nyuma tu hapa Shujaa wetu alitamka kabisaa kuwa haoni umuhimu wa Katiba mpya na akafifisha mijadala yote na hata pale mlipotingisha kibiriti cha UKUTA nyote mliufyata. Sikupata maoni yako kuwa Jiwe ndio Raisi mwenye uwezo...
Maiyanga1 asante kwa kung'amua hilo kuwa Wabondei walifurushwa kuelekea Bonde mpaka walipofika Muheza na vita maarufu kupiganwa maeneo ya Kivindo.
Hivyo tunakubaliana kuwa sasa kabila dorminant Tanga mjini ni Wadigo na sio Wabondei japo baadhi walikimbilia Mnyanjani, Mwarongo na Dargube
. Wale...
Umekosea sana. Wenyeji wa Mji wa Tanga ni Wadigo ba sio wa Bondei. Afterall..wote hao kutoka Korogwe na Lushoto Tanga kwa maana ya Makao Makuu ya Mkoa ni nyumbani kwao na wana nasaba sana na mji huo.
Tatizo Wabondei,Wadigo na Wasegeju ni wavivu sana suo wa chapakazi hivyo Wasambaa wameonyesha...
Mwenye Klipu ya huyu babu wakati amehongwa ubalozi na alipoulizwa juu ya haja ya kuwa na katiba mpya na akajibu kuwa Katiba mpya sio muhimu atuwekee hapa.
Yaani huyu Mzee baada ya kutoswa ubalozi ndo anaropla maneno yote haya😃. Cha kufurahisha CHADEMA wameshamshtukia hivyo issue ya IGA na katiba...
Ukitaka kujua brain zao halisi muangalie Prof Nguli na former CAG prof Assad au the Fullbright professor ambaye rekodi yake UDSM haijawahi kuvunjwa Prof Lipumba..bado sijamtaja Dr Dau one of the very bright former student pale UDSM ... ndo utajua wakoje...
Sio ujinga ni uchizi kabisa uliochanganyika na chuki. Shida wengi humu wamejaa chuki kubwa kiasi wanashindwa hata kuwa objective kwa wanachozungumza wakisaidiwa na kujificha nyuma ya keyboard! Hovyo kabisa
Huna ujualo. Unadhani chuo kimetolewa kwa kupenda? Waswahili wanasema sura zimeumbwa na haya na ukila na kipofu usimshike mkono...wewe ma bilioni ya kila mwaka ni sawa na majengo ya kile chuo? Bil 36 kwa mwaka mmoja tu ni zaidi ya gharama za yale majengo ya chuo
TEC ni chombo kikubwa sana. Kuja na tamko kama hili la kiujumla bila kuwa na takwimu na mwisho kuja na conclusion ya kutotidhia. Kusema kuwa Wananchi wengi hawaungi mkono, kwa takwimu zipi? Asilimia ngapi inapinga na ipi inakubali?
Hebu tuchukulie hoja ya kuwa lazima wengi wasikilizwe..vipi...
Hongera kwa upembuzi yakinifu kwa takwimu. Tatizo ni kuwa chuki imetamalaki juu ya Dk Samia hutaona watu wakikosoa takwimu linganishi ulizotoa. Utaambulia kejeli kama tulivyoanza kuona kutokana na chuki kwa kiongozi aliyeko madarakani..purely pathetic!
Hao watetezi wa Haki walikuwa wapi kuwaita au hata kukemea pale Dk Samia Suluhu Hassan alivyokuwa akitwezwa, kutunwa na kudhalilishwa kwa kila aina ya kejeli akiitwa Mwizi, kichaa. akili matope n.k.
Ushauri wangu wakae kimya kama walivyokaa kimya kabla. After all Raisi anahusikaje? Wanashikiliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.