Kutunza na kukokotoa taarifa za kitaaluma za wanafunzi. Kuanzia siku ya kuanza darasa la kwanza hadi la saba kuendelea kuitunza kuituza. Pia iwaruhusu washikadau wengine kuangalia maendeleo ya shule kupitia mtandao.
Habari zenu. Mimi ni Mwl wa shule ya msingi ya hapa dar es salaam. Namba kuuliza je kuna shirika au taasisi inayosaidia kutoa compyuta walau used au kutengeneza bure program za database ya wanafunzi kwa shule yetu ya msingi? Atakae weza tafadhali anifate inbox plz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.