Bora umemwambia, nishapekuliwa wallet uzuri pesa nyingi niliisunda ndani ya bag. Sina hamu na mademu wa Arusha nikifika huwa nawaona kama mabroo tu sishoboki nao, mi mitungi tu nikichoka haraka kulala. Halafu yanatongoza hadi wanaume haki wallah
WANATUOKOA SANA WENGI WETU HUMU ILA HAWAWEZI KUKIRI, NILISHANUNUA NYAPU MITAA YA KARIAKOO TOTO LILIKUA HOT SIWEZI HATA KUSAHAU, NIKAJIULIZA WAOAJI HAWAIONI MALI HII HADI IKATUMBUKIA KWENYE UKAHABA
Hivi vyama vimekuwa ni sehemu ya upigaji na inaonekana vina pesa sana... Nimeanza kuelewa hata bwana maganga akagomea uteuzi wa mh Rais Ili kulinda kiti chake pale CWT
Huo ni mzigo wako mkuu maana tumeambiwa kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe. Hakuna mwanadamu hana mzigo wake so jipange namna wa kuishi nao na ndo maisha hayakosi mizigo au changamoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.