HII SIO GRAMMAR NI LITERATURE MBONA KWETU TUNAELEWA TU.NA SI UNAJUAGA MAMBO YA PERSONS AU UMESAHAU?SIKU HIZI NA WEWE UNAKADIGIRII NINI?TUSIFANYE MAISHA MAGUMU KUJIFUNZA KITU KIPYA HAKUHITAJI GRAMMAR
JAMANI KWELI JAMII FORUM YA ZAMANI SIO YA LEO.HAPO NI KAZI RAHISI TU,UNAMSHIKA MWIZI UNAMSHUGHULIKIA HALAFU ATAKUELEZA AMETUMWA NA NANI FULL STOP.PIGA MWIZI KWANZA NDIO UNAMFUATA ALIYE MTUMA.
Uwingi wa kamasi hauendani na ukubwa wa pua.na kama ni kweli naomba unikumbushe mbunge wao ni wa chama gani?kumbuka kura ni siri,unaweza ona mikutano imejaa ukajua wote ni wamoja kumbe ni maafara wa mamba
Mkuu kufungwa kwa kiwanda si hila mbaya ya selikari ila ni hao wahindi(rai group)wanawafanyisha kazi bila kuwalipa wafanyakazi mishahara mizuri.siku zote wahindi hupenda kuwachonganisha wafanyakazi na selikari ili wao wapate faida.vipi mkuu laki na nusu mlipata mwaka 2008?na mpetu bado ipo?
Mkuu upo sahii kabisa kuna watu humu ndani hawaelewi lakini wanashabikia na kutoa taarifa za uongo,jamii forums kwangu mimi ni sehemu ya kupata somo na kutoa somo la ukweli pasi na shaka.
Mtu anakuja anatoa scale ambazo hazipo,kwa mfano kuna watu wanafanya kazi kwenye kiwanda cha karatasi...
Man of her dream,yupo sahihi kabisa pengine wewe ndio hujui kimombo kama mimi.Yaani umeshindwa hata kugoogle tu halafu unaanza kumponda mwenzako,kinacho hitajika ni je umemuelewa hata kama katumia kichina au hata ishara tu>
Siamini kaka Great Thinker wana nafasi kwenye maisha ya kiroho.Hebu jikumbushe kuzaliwa kwa Yesu na kuumbwa kwa ulimwengu wewe kama great thinker unaweza ukaelezea kibinadamu?
Upande wangu naamini asilimia mia kuwa wote wanaoenda huko wanataka kuwa na pesa nyingi zaidi.Ukiamini katika roho na...
1.Kaka kama kweli unashida ya kwenda Nigeria na umeambiwa uende saa moja, kwanini ushindwe kufika?
2.Mbona ukiwa unasafari ya mkoani saa kumi na mbili huwa umeshafika Ubungo?
3.Au unataka kupewa ucoordinator sasa umeamua kufanya kampeni?
4.Je huyo Martha kwanini usingemwambia mwenyewe kama...
Mkuu habari ya kazi Kichwa,
Nina kuku wekundu wa mayai kutoka Malawi. Tatizo lao ni kwamba kila wakati wanaacha midomo wazi iwe mchana au usiku na wanatoa sauti kama vile kuna kitu kwenye koo kinawabana na wanapungua uzito. Je, watakuwa wanasumbuliwa na nini? kwani nimewapa dose ya minyoo...
Unafikiri usipo nunua wewe kwa ajili ya kununua magazeti ya udaku unadhani na wengine hawanunui?au mwanahalisi wamekuomba msaada uwasaidie kwa sababu ya kufilisika, tuweke wazi.Au kwa sababu hawajaandika habari za kanumba?ukitaka kitu ni lazima ujue sehemu kinapopatikana,sio wewe unataka bangi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.