eti jamani....yani hii nchi cjui vp! na hiyo law skul walipewa msaada na World Bank kama sikosei, matokeo yake watu wanakula tu pesa zilizolengwa kwa wanafunzi...huu ni uchoyo first class..
Ni kwamba wanafunzi hao ambao wamehitimu degree ya sheria na kujiunga na Law skul hawaelewi mambo yanavyoenda kuhusiana na mikopo. Wanadai wanaishi katika mazingira magumu sana yanayowafanya washindwe kumudu masomo yao kutokana na chuo hicho kutoa mkopo kwa nusu robo ya wanafunzi tu. Wanashindwa...
hello pipo....kuna mtu anaweza kunipa mwanga hizo successes and failures of labour law in bridging the gap between an employer and an employee in Tanzania terms of rights and liabilities of both parties.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.