Kuchafua mazingira na kusababisha magonjwa tutabishana kuhusu data. Ila tuokoe fedha za walipa kwa kutenga siku moja ya kumbukumbu ya kuwasha na kuzima mwenye kwa hata nyerere tumemtengea siku moja tu. Otherwise mwenge upelekwe kwenye jumba la makumbusho.
Mi si shangai akidi kutimia zenji na matukio yanayoendelea mwanasheria mkuu zenj na afisa aliyerejeshwa kutoka Riyadh ni mashujaa wa kuenziwa. Pengine mfumo uliotumika ni ule wa enzi za Mwl. Mwl. Hakuwa kushindana na mtu lakini alikuwa anashinda kwa kishindo na kuitwa mshindi.
Askari kupiga raia ni proof ya false consciousness theory, yaani tunaambiwa wananchi wote ni sawa mbele ya sheria. Lakini kihistoria dola bourgeoisie kukandamiza ploretariet. So kupiga ni mazoea ya kulazimisha order. Reasonable force sio kupiga na hakuna mahakama duniani iliwahi kutoa tafsiri...
Kama utaingiza bill of rights kwenye katiba, automatically kuingiza mahakama ya kadhi ni kukaribisha mkanganyiko sababu ukishakuwa na ibara baguzi zinazohusu watu fulani turn au kikundi fulani tu, basi ni dhahiri hiyo si katiba bali ni m.o.a. lakini matukio haya yanathibitisha ubinafsi wa...
Mungu wasamehe bakwata kikristo maana hawajui watendalo. Yawezekana 300,000/= zimewapofua. Hata kanuni zenyewe hawazioni. Kwani kati ya 6 na warioba +a.ramadhani ni nani anajua kukusanya maoni ya wananchi.
Ntashukuru chadema ikichukua jimbo la Mbinga, maana kwa sisi...m tumeteseka tumekoma na kayombo wetu. Ila ni kweli jina la ngwatura Mbinga ni kichefu2. Mungu atunusuru na janga la kayombo 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.