Jamani wadau naomba msaada hapa Loan Board tangazo lao waliandika kuwa watatoa mikopo hata kwa wanafunzi wa nje ya nchi ili mradi uwe na offer letter leo nimeenda kufuatilia wale mareceptonist wao wanasema hapana ni kwa wanafunzi wa hapa tu kwa nchi zingine lazima uwe na kibali kutoka wizarani...
Hi,
Mimi ni kijana wa Kitanzania(21) nasoma India
nimemaliza mwaka wa kwanza na nimerudi Tanzania.
Nitakuwepo mpaka mwisho wa mwezi wa nane
natafuta tempo work yoyote najua Computer na
kingereza na kiswahili vizuri sana .
Pia nasoma Bachelor of Business Management .
so naweza pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.