Habari wakuu,
Leo saa 17:36 nimepokea ujumbe wa utapeli unaolichafua jeshi letu.
Naomba jeshi limtafute huyu mtu anayetunia namba +255 692 415 547 aliyenitumia sms ya utapeli ili aeleze vizuri.
Nimeambatanisha ujumbe wake sms aliyotuma kwenye namba yangu nikiamini amewatumia watu wengine...
Habari wadau,
Leo nimekuja kwenu nikiwa na shida moja mhimu sana. Namtafuta Mama Tecla Thrombo kama sijakosea jina lake. Huyu mama alikuwa wizara ya elimu ofisi ya katibu mkuu wizara ya elimu kama PS na badae ofisi ya waziri kama PS.
Huyu mama alinitendea wema mkubwa sana sana. Aliniokoa sana...
Mkuu stroke, kitu gani ambacho unaamini ni kizuri kutoka kwa wapinzani wa nchi hii hasa CHADEMA? Hata kitu kimoja, au hoja moja waliyowahi kuileta au kuianzisha au kuiongelea katika nchi hii.
Si unamuona kwa umri alionao, anachowaza Paschal ni kupata ulaji maana anaona umri unaenda na alishasemaga deals zake zimekufa hana kitu wala kazi yoyote. Amefulia. Anataka uteuzi kwa namna yoyote ile hata iwe kwa ubaya gani.
Nimeelezea tayari, then binafsi nilishaibiwaga simu mbili na nilienda mpaka polisi kuwapa IMEI number na mpaka namba za simu zilizokuwaga kwenye hizo simu zilizoibiwa. Guess what - mpaka kesho polisi hawajawahi kunipa jibu la simu zilipo wala anayezitumia. Walinizungusha mpaka nikaamua kuachana...
Hili swala linashangaza sana, kuna watu wapo maofisini hawawajibiki hata kidogo mpaka wasukumwe na vigogo ila wananchi wakawaida ni mara chache kushughulikia kero zetu. Mpaka mkubwa aseme. Hii inaumiza sana na mtu kama huyu anatapeli watu weeengi kila siku. Lakini yupo tu anadunda na atakumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.