Msamehe tu, tunapenda kudeka jamani, uwoni ukiwa unacheza na watoto anatamani kucheka ila anajikaza hajanuna anataka umbembeleze, ila apo zero distance ndio tunamalizaga tofauti zetu. Jamani asifanye ivyo mume hanyimwi raha.
manuu
Mkuu apo umesema hata mimi nahisi anamchukulia kama shost wake unajua wakaka kidog wana kifua cha kuhifadh maneno, Pia amependa jinsi anavyoishi na mkewe.
Jamani kwani kumsifia mtu kuwa wewe na keo mnapendana ni kukosa haya? au kumwambia mume wangu ni mkorofi ni kutoa siri? uyu dada mm nahisi kama mtoa mada angemuelewa vizuri mbona ni jambo dogo tu ni kumuuliza tu uyo dada tatizo ni nin na kumshauri nin cha kufanya ili nae akajifunze ndoa yake...
Mim naona ni filing zako tu, unajua nyinyi wa kaka kidogo mnakifua cha kuhifadhi maneno ndo maana ameamua kukuadithia. Pia kwani mtu akikusifia aisee wewe mnaishi na mkeo vizuri, mnapendana ni kosa?
na yeye anatamani ndoa yake ingekua na amani kama yako, hapo alipokueleza ungemuuliza tatizo...
Wanandoa tunajisahau sana tunaweka udunia mbele, tunasahau kuwa yupo yule alietuaidi " Utamwacha bab na mama yako mtakua mwili mmoja, badala ya kumlilia uyo tunakimbialia michepuko wacha kundi la ndoa ndoano liongezeke,
Kwa mtazamo wangu mimi naona wapo ambao wameamua kuzaa tu maana umri unaenda ndoa hakuna akaona bora nipate mtoto angalau wa kucheza nae hawa mara nyingi hawajuti kabisa kwa sababu hajui raha wala kelo ya ndoa. Shida inakuja yule ambae ameolewa na ameachiwa watoto au ameamua kuchukua watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.