hakujawahi kuwepo dawa ya virusi duniani ndo maana suluhisho la kudumu ni chanjo.kinyume chake ni madawa ya kufubaza kirusi.Dawa ya madagascar kama inatibu huitaji kutumia nguvu at WHO hawajaipitisha.kwan mitishamba wameipitisha mbona tunatumia? nchi iliyokuwa ya kwanza kuchuukua dawa yao bado...
mkemia mkuu wa serikali siyo kazi yake kupima kama dawa inatibu au la.Anachofanya kupima kama ina sumu kwa binadamu au la.waganga wa kienyeji mara nyingi hupeleka dawa zao huko kwa ajili hiyo
ndugu jiamini usiwe mwoga kila ukiona ngozi nyeupe.siyo kila mzungu ni mwekezaji.sijaona cha hasa kumsifia kifo kipo hata kama una pesa kiasi gani.yaani wahindi watu wa hovyo
bora angekuwa mwingine
wa moro wakaribie wa dar tumeshiriki vipi? nadhani kuna haja ya kujitafakari na kuona jinsi ya kusonga mbele.sijui ni kwa jinsi gani uongozi umeshiriki au jumuiya imeshirikije kwa tatizo la Melo.tufikirie mara 2 leo mm kesho wewe
mtoa hoja uko sahihi 100%. mshika 2 moja humponyoka sasa yeye kashika 100. mambo ya ushoga ni mambo private saana. na hatujawa na shida kubwa kama hiyo. sidhani kama linaweza kuwa kipaumbele na 1 au 2 au hata 10
mdau umeuliza swali la msingi.kwa jinsi alivyojipambanua kiukweli sidhani kama anaweza kuendana na kautaratibu ka sasa kuzima demokrasia.najua yupo knye wakati mgumu lakni pesa tena ni shetani.kipindi prof Luoga hajawa bosi udsm alikuwa mzalendo na mpinga urasimu wa uongozi wa kina prof...
nadhani ungejadili hoja wala si kutaja gazeti.je hoja yao ni uwongo? je kila mtu akiambiwa kapunguziwa elfu 1 anafurahi au la? haya ndo mambo ya kujadili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.