Nikupe kwanza pole kwa yale yote yaliyotokea hapo nyuma. Kahama ya sasa siyo ile ya zamani. Kwa sasa Kahama ina mchanganyiko wa watu, hivyo atakaye gombea hapo hategemei kura za upande mmoja tu.
Jina lake tu, linaonyesha hawezi pata ubunge. Anaitwa NDUHILABUSA Mapigano likimaanisha NACHOKABURE Mapigano. Kwahiyo anajichosha tu bure hawezi kama jina lake.
Je, waislam mko tayari kutumia mapato yatokanayo na pombe na nguruwe ili hali ni vitu haramu kwenu?
Je kwa wale ambao ni ndoa mseto watahukumiwaje?
Mimi naona hiyo ni tamaa tu ya kutaka kuwa watawala. Haiwezekani kabisa kukubalika kwa mahakama hiyo ya kadhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.