Mi hilo suala huwa linanipa shida sana.. maana najua wanaenda kula baadh ya hizo hela. Maana kimsingi wanapopokea hela walitakiwa watoe risiti ya serikali hapohapo. Ule utaratibu ni mbovu sana
Hii bima ya Afya kimsingi ina ukiritimba mkubwa. Na kubwa kabisa ni kwa sababu wapo wenyewe, serikali ilitakiwa kuruhusu mfuko zaidi ya mmoja kama walivyofanya kwenye hifadhi ya jamii.
Mungu atusamehe kwa yaliyotokea.. ila si kazi yetu kuhukumu..
Mkuu umenena vyema sana.. ubatizo unaozungumziwa kupitia maandiko matakatifu ni ubatizo wa maji mengi..
I think the guy was right and very catious, kuna vitu you have to be very careful sana ili visikupotezee muda, hela na kukukatisha tamaa.. Unapopewa taarifa ni vizuri ushukuru kuna watu wanakujali na kukuambia,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.