i heard you mam the only issue here is that be yourself in love express your feelings freely to ur boo and is there where you can get to knw your boo if he loves you how much try to look him in his eyes when your doing so and you will measure or weigh out hw much!
I knw hw it takes sbody...
actually ushauri wa chiko ni best kwako u under 18 wa huyo bint hautuhusu ivo we piga mzigo ila kumbuka kuwa bikra haitolewi na ndom hapo umetupiga chamga afu ka vp sajili namba bwana {uoe}
valex
even though most of you guys u dont believe in distance love but real it exist
mtu kama unampenda haijalishi yu wapi au lah na nakuhahakikishia kuwa hata ukienda kwa huyo met wako huta msahau yule wa mbali kwani kati ya wawili hawammoja utampenda just for spending na mwingine ytampenda kwa...
najua yakua mmefanya matusi na inategemeana ni jinsi gani mlivo kubaliana ibnawezekana mlitamaniana tu lakini haijalishi kuwa uwe unampenda sababu ya wanao bali upendo wako utoke moyoni mwako na si hivyo tu bali pia Muheshimu mungu funga ndo ili hata wanao wawe kwenye safe side na hata marehem...
Duh maskin mama wa watu lakin ni somo hili kwa wamiliki wa mabomba hasa mikoa ya kaskazini maana hata ukienda arusha umekaa bar utaona watu wanafunuliana mashati yaani wakioneshana mabomba viunoni mwao
valex
hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kosa si facebook ila ni ushamba wa mshikaji tu lakini huyu mkewe wa ndoa au wa ndoo maana kama ni mke wake wa ndoa wasingalifichana mambo ya adress za facebook huyo si benka wa ukweli afu mi9 nashindwa amua ila wote wanamakosa ivo basi wasameheane lakini pia...
pole yao dada zetu hawa ni ngumu sana kwenu waadhulika kusahau na kusamehe kama sisi tulivo umbiwa kusamehe lakini mungu ndiye ajuaye poleni tena poleni sana pia hili ni angalizo pia kwa wanachuo wengine maeneo mbalimbali hapa nchini kwetu maana haya matukio yana tokea mara kwa mara japo kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.