Search results

  1. Lutala

    Nimefuta SMS ya token ya Luku kwa bahati mbaya, nawezaje kusaidika?

    Piga namba hii Tanesco Makao Makuu utapatiwa 0768985100
  2. Lutala

    Kumiliki "used toyota car" ni symbol tosha ya umaskini

    Upo sahihi sana ndugu. Nimeishia SA. Hizo BMW, Mercedes, etc bei zake zipo chini haswa. Wengi wanao zinunua mi lazima waingie kwenye maintenance plan (Bima ya Matengenezo) ambayo huisha ikifikia kilomita 1,000,000. Baada ya hizo kilomita hata kuliuza mtaani ni shida kwa kuwa watu wengi wenye...
  3. Lutala

    Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

    No one is like ROMA....yupo mbali sana katika sanaa ya muziki. Hajui kukopi, hajui kushindana na mtu, yeye anajua kupiga kazi za viwango. Hongera sana ROMA
  4. Lutala

    Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

    Naona uzee unamwingia kwa kasi na hivyo ameanza kusahau watu anao watumikia. Yee anatakiwa amuheshimu Rais wa TEC ambaye ndo mkuu wa Kanisa la Roma hapa nchini. Baraza la TEC lina mamlaka makubwa sana katika kutoa matamko kama hayo na halijawahi kukosea. Ametuangusha sana waRoma na TEC kwa ujumla
  5. Lutala

    Tochi za barabarani sasa faini 200,000. Tanroads wasema faini hiyo ni halali ipo kisheria

    Katika hizo sheri ambazo zinahusu kosa moja, ni lazima sheria moja iwe na nguvu zaidi kuliko zote. Ile iliyo Na nguvu kuliko zote ndo inatakiwa kutumika. Haiwezekani faini zote hizo tatu ziwe katika kosa moja. Haileti maana
  6. Lutala

    Spika awauliza mawaziri kwa nini wanapeleka miradi kwa wapinzani wakati hawaungi mkono bajeti

    Muoneeni hatuna. Haelewi maana ya Bunge na pia haelewi maana ya kidemokrasia. Kwa mtindo huo huo mikataba mibovu ya madini na gesi ilisainiwa
  7. Lutala

    Lijuakali: Ndege moja tayari hairuki ni mbovu sababu ya one man show

    Hivi unahitaji rocket scientist kujua ndege Hiyo kuwa ni mbovu?
  8. Lutala

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Kwenye PR au communications kuna kitu kinapata art of negotiations or persuasion. Kuna watu wazuri sana kwenye hii kitu na wengine ni wadhaifu. Makampuni mengi ya wazungu wanaofanya kazi globally huwa wana vitengo au watu wa kazi hiyo. Kwa kifupi ni walaghai na wanaweza fanya chochote kutimiza...
  9. Lutala

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Hata mazungumzo ya mdosi mbele ya waandishi wa habari yalikuwa wazi kuwa watalipa baada ya mazungumzo ambayo yanalenga win-win situation. Sisi thankfulness kuwa kukubali kulipa. Hao jamaa ni wazuri sana wa negotiations. Wanaweza kutupiga kilaini
  10. Lutala

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Tuna pupa ya kulipwa kwa sababu tunaamini tumeibiwa sana. Lakini ukifuatilia mwenendo wa utatu huu, kuja kwa mdosi wa Barick kumepunguza Ile tension iliyo kuwepo.Kutoka lazima watulipe hadi tutafanya nao mazungumzo. Jamaa anacheza PR
  11. Lutala

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Tatizo ni uelewa wa kiingereza na matarajio makubwa. Mzungu kasema tutafanya mazungumzo yenye lengo la win-win situation. Sisi tunasema wamekubali kulipa. Malipo yatategemea matokeo ya mazungumzo. Angalizo hawa waxungu ni wazuri sana wa negotiations. Tusipokuwa makini tutapigwa kiulaini sana mezani
  12. Lutala

    Miaka mingi imepita lakini nahisiwa mimi nimemroga

    Analaumiwa dada kwa kuwa mtoa mada anatuhumiwa kuwa ni mchawi baada ya mambo yake kuharibika
  13. Lutala

    Kumbe mpenzi mpya wa Harmonize aliwahi kuolewa na mmasai

    Huyu Dogo naye kazidi kutoka na extra used. Kwanini asitafute machimbo mapya? Mbona yapo mengi tu
  14. Lutala

    Kuondolewa Motor Vehicle Licence janga kwa wananchi wa kawaida

    Mkuu nadhani hujaelewa kodi inayo zungumziwa. Importation tax ipo palepale.
  15. Lutala

    Kuondolewa Motor Vehicle Licence janga kwa wananchi wa kawaida

    Wengi watachukua muda sana kuelewa athari yake. Tutaumia sana kwenye mafuta na athari zake zitaenda kwenye maisha ya watu wa hali ya chini
  16. Lutala

    Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

    Yaani mpaka leo usha oa bado unamuogopa? Duuuuuuuu....atakuwa Ni hatari sana huyo teacher
  17. Lutala

    Lowassa: Acha wafu wazikane wenyewe, wametunyima uwanja lakini Majengo kumenoga zaidi

    Tutaipeleka michango kwa mafisiem wakajenge barabara
  18. Lutala

    Lowassa: Acha wafu wazikane wenyewe, wametunyima uwanja lakini Majengo kumenoga zaidi

    Majengo pamenoga, Don Lowassa kanoga. Tuonane 2020
Back
Top Bottom