Soma na hii...
Mtendaji wa zamani wa CIA: "Kiongozi wa ISIS Abu Bakr Al Baghdadi Alifundishwa na Mossad wa Israeli"
Na
Anas Chihab
-
Julai 17, 2014
NSA wa zamani na wakala wa CIA Edward Snowden amebainisha kuwa kiongozi wa Kundi la Kigaidi la Iraq na Syria (ISIS) Abu Bakr Al Baghdadi...
"Mbunge wa CCM akamatwa" = UONGO
aliekamatwa ni dereva ila Lori ndo la Mbunge
"Akipeperusha Bendera ya Mbunge " = UONGO ukweli wake lilikuwa Lori wala sio gari ya Mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia nimeliona hili. Yaani kwake yeye hakuna hata mmoja mwenye jema! Kila zama kwake ni mbaya? Basi labda ije ghalka ndio labda nafsi yake inaweza ridhika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imenifikirisha sana hii ya "KAMA MUNGU HAKUWARIDHISHA, JE SISI WANAUME NDIO TUTAWARIDHISHA?"
Kumbe ndio maana minywele bandia, rangi bandia, boots bandia na hata akili siku hizi wengi wanazipata salon!
Hata kwa kutuambia tu, waraka namba gani wa mwaka gani tutautafuta tufanye reference.
Kwasababu kama ni kosa basi limefanywa kitambo kiasi kwamba imeonekana kama ndio utaratibu. Inawezekana waraka umesahaulika na hili swala la kushindikana kuwa public ndio hata huko kwenye maofisi hawauoni...
Natamani nipate fursa ya kujifunza kutoka kwa waonesha njia kama wewe.
Ni graduate wa finance, nafanya kazi za kutumwa hapa na pale, sina experience, sina financial resources. Nina ideas nyingi na nimewahi ku-team up with people with capital lakini tumeachana njiani.
Kindly niongoze nawezaje...
Hii hali inaitwa "afterquake". mara nyingi inakuwa na magnitude kidogo kuliko tetemeko lenyewe lakini mara nyingi huwa na madhara makubwa kama hakuna tahadhali.
hii hutokana na kwamba nyumba zilizoathirika na tetemeko hubaki na ufa ama ubovu usioonekana waziwazi sasa afterquake inapotokea...
Kubari tu kuwa umewaza tenge, sio mawazo sahihi...hebu fikiria umebadili katiba na Magu akaongoza na kufia katika uongozi, mwingine akachukua madaraka na akawa si miongoni mwa wale unaowapenda je, utapendekeza teza tuweke ukomo wa madaraka?
Hivi Haya yoooote yalikuwa sio issue mpaka alipoonyesha makosa yapo wapi kwenye system ya kodi ndio sasa yanaibuka?
Sikilizeni nyinyi, Rais ndio alimteua na anaweza wakati wowote kumtoa lakini sio kujaribu kutudanganya kwa kupika Haya majungu ya kikekike hapa. @%$&@ zenu
Iliwahi kunitokea hali kama hiyo. Kulikuwa na sintofaham ofisini, nikapewa barua ya kujieleza. nilijieleza kama pg 10 hivi. management ilikaa kimya zaizi ya mwezi. baadae niliugua nikakaa off duty kwa siku tatu. siku ya nne nikiwa bado sijarecover fully, nilikwenda ofisini. kufika tu...
Samahani lakini, najaribu kukariri kama nimekuelewa vizuri... eti umesema ACT ni ya watu wa Kigoma? CUF ya watu wa Mtwara? CDM ya Kaskazini na Mbeya? kwa hiyo hivyo vyoote sio vyama vya kitaifa ila CCM tu? ...najaribu kuwaza tu wala sijauliza swali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.