Wadau habar? Nimepata wazo la kufanya bishara ya mchele/mpunga.
Kama kuna mdau humu anaifanya naomba ushauri ;
Je ipi bora zaid
Kununua mpunga kuweka store kisha unauza badae?
Kununua mchele mkoani na kusafirisha dar kuuza?
Au ipi njia nyingine bora ya kufanya hii biashara?
Ahsanten kwa wote...
Mm napenda na nataman sana kufuga samaki pamoja na kuku!!
nikitaka kufuga samaki kuanzia kujenga bwawa inatakiwa niwe na kias gan kwa kuanzia kiwango cha chini?
Mimi sio mwanasiasa ila ni mpenda mabadiliko hasa ktk katiba yetu ya Sasa Mana ina mapungufu mengi na haiendan na mfumo wa vyama vingi.
Kosa la Mbowe na wenzake ni nn hadi kuwekwa kizuizini?
Ukiangalia baadhi ya matukio ya kisiasa Africa utabaki kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu. Baada ya Uchaguzi wetu Tanzania kuleta taharuki nyingi leo wote tunaangazia uganda kinachoendela.
Ukiwa kama mdau wa siasa una maoni kuhusu uchaguzi mkuu wa Uganda?
Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa hatohudhuria kwenye sherehe za kuapishwa kwa Joe Biden kuwa Rais Mpya wa Marekani, Joe Biden amesema ni jambo zuri kwa Trump kutofika maana huenda anaweza kuharibu shughuli kama atakuwepo.
Marais watatu Wastaafu wa Marekani Barack Obama, George...
Kutoka Tanzania namleta kwenu kijana mwenye upako wa tofauti ktk kumtumikia mungu kwa njia ya uimbaji na kufungua .
Artist; Michael john
song;Msaada wako
Ingia youtube kuona kazi yake nami nahakika utabarikiwa.
Like,comment,subscribe na Mungu akuzidishie.
Maoni yangu ni kuwa huu mpango umetengezwa na watawala ili kudanganya mabeberu kuwa tz kuna democracy.
Kinachonishangaza ni kuwa pamoja na kuvuliwa uanachama bado watawala wanalazimisha kuwa ubunge upo palepale ambapo ni kinyume na katiba ya nchi
Maoni yangu kwa chadema ni kuwafuta uanachama wabunge wote waliofanya usaliti huu wa kihistoria, CHADEMA ni chama kikubwa zaidi ya hao wasaliti,,kinyume chake wanachama wengi watakosa imani na chama na kusababisha mpasuko hata kufa kwa chama .
Mytake;
Nasubiri tamko nijue chakufanya!!
Hongera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.