Igp s. Mwema ni msomi mwenye degree ya kwanza ya sheria kutoka chuo kikuu cha dar es salaam ni mtu asiyekuwa mbinafsi wala upendeleo wa chama chochote ndo maana aliandika kitabu cha haki ya mpiga kura ktk uchaguzi wa 2010. Nadhani utashuhudia mwenyewe ktk uchaguzi huu matumizi ya nguvu yamekuwa...
Ni ajabu chombo cha umma kutoa taarifa kama hizo ikiwa tu kuna kiongozi anataka kugombea uongozi ktk ofisi vyeti kabisa nchini. PCCB mlitakiwa kutoa taarifa hizi kipindi tu mlipo maliza upelelezi wenu. Naona kwangu haiingia kwa kichwa.
treni yenye gauge ya kimataifa na sio ile yenye gauge ya mjerumani ili wagon na coaches za tazara ziweze pita bila shida katika reli ya kati. Ahadi ni nyingi mno lakini ni zake wala sio za ilani ya chama chake kwani itakuwa vigumu kumuuliza.
Haya masuala ya vipaji maalum kwa chadema nawapa big up lakini ccm nafasi hizo zimekwisha milikiwa na wamiliki wamekwisha pewa hati miliki angalia wanavipaji maalum wa mkoa mara ni wale wale hawabaliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.