Search results

  1. N

    Kikwete: Sipendi Kusutwa, Niiteni Bwana Maendeleo!

    mkuu kuhusu Riz1, Kikwete anatoka miaka miwili tu ijayo, tutakuwa huru kuhoji hizo mali uzisemazo kama kweli anazo na avarify amezipataje. kama kuna kona kona sheria ichukue mkondo wake. yaelekea kwa mawazo yako shida tulizonazo waTz ni kwa ajili ya Riz1. sishangai mtu kama wewe kuwa na mawazo...
  2. N

    We want graduate MPs, say members of public

    Nakubaliana na wewe. bahati mbaya niliyonayo ni kwamba huwa sinaga kona kuukubali ukweli pale tu ninapouona. asante.
  3. N

    CCM ilizaliwa tar 3/2/1977

    mkuu umejuaje kwenye red highlight? viongozi wengi wingi ni makada wa ccm. hebu fikiria kama ingekuwa tar5 mwakyembe asingekuwepo kazini wala wakuu wa mikua, wilaya na kadhalika.
  4. N

    Kikwete's Regime Exposed: Activists report to US Congressional Committees... For Your Eyes Only

    yes, nakubaliana na wewe kuwa ccm has to go. ila sikubaliani na dhana akiwa muislam pale ndo ccm ionekane mbaya. tumeona matamko mbalimbali ya viongozi wa makanisa kipindi hiki lakini maaskofu hao hao hatukuwasikia wakitoa matamko yao kipindi cha mkapa pamoja na ufisadi ulitamalaki kipindi...
  5. N

    Gambian President Yahya Jammeh introduces three-day weekends

    they can suggest otherwise too.
  6. N

    PICHANI Sherehe za miaka 36 ya CCM zafana Houston-Texas

    sijakuelewa mkuu, labda elezea kidogo ulichomaanisha ili namimi nipate kushare mawazo na wewe. Natanguliza shukurani.
  7. N

    Mama Anne Kilango na Ajira za Emirates

    mkuu kwanza nashukuru kwa historia ya pakstan, bangladesh na India, sikuwahi hata kufikiria kitu kama hicho. pili asante pia kwa ujumbe murua, kwamba binadamu analevel ya uvumilivu baada ya hapo liwalona liwe na tatu nikuambie tu, wengi wanaosoma humu wanajua sana kutokana na elimu ya uraia...
  8. N

    Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 askari wa umoja wa mataifa watahitajika

    inawezekana ukawa uko sahihi na hasa kwa hila za maCCM. Lakini pia kumbuka walisema walioajiriwa kufanya hiyo kazi hawakuwa na ujuzi wa kutosha kuzitumia zile program katika kuhesabu kama ujuavyo wataalamu wetu. ila fujo zilizokuwa zikiletwa pale hazikuwa nzuri. jaribu kuuliza mtu aliyekuwa pale...
  9. N

    Kikwete: Sipendi Kusutwa, Niiteni Bwana Maendeleo!

    mkuu hujakosea. sisi tunaishi uswahilini na tunaona jamaa hata hizi barabara za kwetu kwa mara ya kwanza katika historia ya tanzania zinajengwa tena kwa lami. nyie mafisadi mliolifilisi taifa hili hamtaki kuona na sisi tunasonga mbele. kinawauma hata uwepo wa shule za kata kwa sababu mnajua...
  10. N

    Karejea upyaaa, wazee chadema na viongozi wakubali kufukia mabonde ya kijana wao

    probably the guy had no choice. aliambiwa afanye hivyo. yeye si wa kwanza, tunakumbuka nyerere alishawahi kumwambia Aboud Jumbe "you have to step down" historia hujirudia. hivi nilazima zitto uwe hapo chadema? unaelimu kwa nini unyanyasike kwa ajili ya dini yako tu? ya kabila laku tu? ya ukanda...
  11. N

    We want graduate MPs, say members of public

    thanks mkuu maisha ya da silva ni very complicated. ni mtu aliyekulia kwenye shida, kaanza shule akiwa 10years na kuacha shule akiwa 12years, kukatika kidole akiwa kazini na kugombea urais 3 times zote akikosa. kwa mwenye nafasi ingieni kwenye wikipedia ya huyu jamaa, very interesting kwa kweli.
  12. N

    We want graduate MPs, say members of public

    very good comment. ni kweli kabisa huu uchambuzi wake unaonyesha kabisa level yake.
  13. N

    ...Mkurugenzi Anaporudisha Fedha Hazina...

    good explanation. thanks.
  14. N

    JK:Tutaserebuka,sijazeeka bado!

    kwanini hii mada yako usingeipeleka kule kwenye jokes na mambo yanayofanana na hayo? hapa tunajadili great ideas kuhusu siasa na si hizi jokes zako hapa mara kuserebuka puffffffffffffff, leave me alone.
  15. N

    Lowassa: Bungeni haongei, makanisani, kwenye mahafali na kwingineko msemaji mzuri!

    akiwa bungeni huwa anaota magogoni tu. makanisani lazima aongee kwani hata miungu wanazipenda hela za ufisadi.
  16. N

    Taarifa kwa umma wa watanzania.

    dogo maro-chadema watakumeza humu. hawataki hata kukusikia. shauri yako.
  17. N

    JK akiri vyama vya upinzani vinazidi kuimarika

    uzuri ni kwamba jamaa hana cha kupoteza sasa, 10years yake inaisha. hana chakuficha ndo maana anaweza sema haya hata hadharani. he has nothing to lose.
  18. N

    Vijana wa ccm walalamika kutokuwa na kazi huku chama kikiwatumia katika kazi zake.

    kwani ni wanachama wangapi wa vyama vya upinzani wanaajira. kuwa green gurd sio ajira, unatakiwa utafute kazi ya kufanya. chama hakiwezi kuajiri kila mtu. hebu nyie watu wachadema au cuf niambieni kama mnawalipa wanachama wenu wote mishahara ukiacha viongozi na hasa watendaji. poor thinking.
  19. N

    We want graduate MPs, say members of public

    wewe unautani sasa na mbowe. mimi ngoje nijisepee mapemaaaaa kabla mapro-wake hawajaja kunirarua.
Back
Top Bottom