Kwa kweli ningependa kumshauri mwakyembe kama huwa anapitia hili jukwaa aangalie kuna tatizo la msingi kwa management ya tazara hq haiingii akilini kama tazara inasafirisha mizigo kwenda zambia halafu kila siku haina hela ya kulipa mishahara wala kulipa supplier wake.tazara inafanya collection...
kwa kweli hii ni aibu kubwa kwa nchi iliyoheshimika kuwa na amani kuona serikali ikiendele kujikanyaga bila kuwa na ufumbuzi juu ya huu mgogoro.ukiangalia mahospitali ambapo vifaa ni duni watu wanalala mpaka mlangoni hawa madaktari nani aliwaambia waliumbwa na mungu kukubali kuendelea kuteseka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.