WADAU SALAAM!
NATAFUTA JIKO/SEHEMU YA KUKODI KWAAJIRI YA KUWEKA MGAHAWA/BAR KWA HAPA DAR ES SALAAMU, NAITAJI SEHEMY YENYE MZUNGUKO MKUBWA WA WATU.
NI PM KWA MAZUNGUMZO ZAIDI
Seeking an experienced audio engineer to work closely with me to produce and create best-in-class podcast content across multiple genres. This is a chance to join a new and growing team, and impact lives of millions.Send CV at ceo@workplace.co.tz or comment your name on my wall.
Anaitajika Mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kipika chakula cha kiafrika kwaajiri ya mgahawa ulioko block 41 Kinondoni. Nitumie msg DM kwa mawasiliano zaidi.
WADAU, ANAITAJIKA MPISHI(CHEF) MWENYE UJUZI MKUBWA WA KUANDA NA KUPIKA NYAMA YA KITIMOTO KWA AINA NA MAPISHI TOFAUTI TOFAUTI.
KUANZIA YA KUCHOMA MPAKA MAKANGE. KIJIWE KIKO BLOACK 41 KINONDONI(KARIBU NA BEST BITES). KAMA UNA UJUZI HUU NA UMEBOBEA TUPIGIE KWA NAMBA 0746 10 10 88.
AHSANTENI.
Wadau naomba msaada, nahitaji kuwa nanunua mbuzi wengi kwa wiki katika mnada wa mbuzi Vigwaza.
Mwenye uzoefu wa siku zipo kuna mnada na bei zake.
Natanguliza shukurani!
WADAU NAOMBA USHAURI WAPI NITANUNUA VIFAA HIVI VYA STUDIO KWA HAPA DAR ES SALAAM:
1. Shure SM7B Cardioid Dynamic Microphone
2. The Blue Yeti microphone
3.RODE PSA 1 Swivel Mount Studio Microphone Boom Arm
NAMBA YANGU NI O743 319 304
AHSANTENI SANA KWA USHAURI.
USHAURI NDUGU ZANGU HUMU, ALIETOA TANGAZO HILI NI TAPELI, LEO NIMESAFIRI MPAKA ALIPOSEMA VIFAA ANAVYOUZA VIPO MATOKEO YAKE HAKUPOKEA SIMU KWA SAA ZIMA NA BAADAE AKAZIMA NA SIMU KABISA. NAOMBA MUWE MAKINI ASIJE AKAWAPOTEZEA MUDA.NACHELEA KUSEMA NI TAPELI.
ANAITAJIKA MPISHI MWENYE UZOEFU MKUBWA WA KUPIKA CHIPS ZA AINA TOFAUTI PAMOJA NA KUKU WA SEKELA NA UCHOMAJI WA NYAMA. OFFICE NI MPYA MAENEO YA MIKOCHENI KWA WARIOBA. MALIPO NI MAZURI KUTOKANA NA UZOEFU NA KUJITUMA KATIKA KAZI PIA. PIGA 0743 319 304 KWA MAELEZO ZAIDI
Naitaji Chef mwenye uzoefu mkubwa wa kuchoma nyama za aina zote(hili ndio la kwanza) na mapishi aina mbali mbali pia.
Pia anaitajika mkaanga Chips mwenye uzoefu na utaalamu mzuri.
Tuma msg kwa 0743 319 304 nitakupigia kwa maelekezo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.