Hiyo kitu ni ngimu Nyumba 10 standard vya guest viwekiwango anatakiwa awe Na 130m. Guest ni kitu ingine kabisa. Return inategemeana Na location ilipo guest napia competitor s wengine
Jamani mkubali tu Kwamba hilo ni Soko huria. Na kila mmoja anaubunifu, unaweza ona kampuni IPO vizuri Na inamtaji mkubwa hivyo kupunguza gharama za uzalishaji wa Tofali Na Kuuza kwa gharama nafuu
Jina: Suzana manjati
mahali: Nipo mkoa wa tanga wilaya ya kilindi
idara: Elimu sekondari
nataka kuhamia jiji la mbeya kama kuna mtu anataka tubadilishane tafadhali tuwasiliane 0767 009197
Which category are you?
TYPES OF HUSBAND
THEIR CHARACTER TRAITS
1
Bachelor Husband
These are men who
Love to do things on their own without consulting their wives
Love to hang a lot with their friends rather than their wife.
Not very serious...
Wazee mimi nimepata hati miliki kirahisi sana huko wilayami nilitumia 2,000,000
ambapo tsh 1000000 nilinunua kiwanja na nikamwezesha mtumishi mmoja 1,000,000 nikapata hati yangu ndani ya siku 21.
KUNA JAMAA ALIRUSHA ISHU KUWA VIWANJA VINAUZWA KILINDI.
EBWANA KAMA UPO NIPE SIMU YAKO NIKURUSHIE HATA VOCHA AU TUMA EMAIL kwanzamen@yahoo.com.
Bwana nimepata viwanja bomba sana nilidrive kutoka Dodoma hadi Kilindi. Asante kwa kunipa taarifa ya kuuzwa kwa viwanja hivyo
wakuu nimepita wilaya nyingi kutafuta maisha nimekutana na kitu adimu sana nchini humu. Nilifika wilaya ya kilindi mkoa wa tanga wilaya hii ni mpya imezaliwa kutoka wilaya ya handeni, nilifika nikakutana na maafisa ardhi ambao niliwashangaa. Kwani nilipewa fomu ya maombi nikalipia benki tsh 5000...
Wajumbe wilaya hii ni mpya imezaliwa kutoka wilaya ya handeni, mradi wao unaviwanja 570 bei yao ni tsh 500 kwa square mita wametangaza kwenye magazeti simu zilizoandikwa kwenye magazeti za maafisa wanaohusika wa ardhi ni o787737616 au 0653792114 au 0756332665 haya wajasiliamali mshindwe nyinyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.