Mkuu NICOLAX nasikikiaga sana hii kitu inaitwa DRAKE'S EQUATION hebu nipeni maujuzi kidogo na mm kabla hatujaenda mbali sana
Mkuu MONSTGALA uko wapi Mkuu?
mfumo wetu wa elimu unatufanya tuwe wategemezi. pia mashuleni tunaambiwa ukifanya makosa unaadhibiwa ,kama ni mtoto basi atakua na kuishi maisha yake kwa uoga wa kufanya makosa na kushindwa kujaribu next step. katik maisha yetu lazima tufanye makosa ili tujifunze zaid
.made in mby city.
There is the force of attraction between any two bodies which is very small to be recognised
(GRAVITATIONAL MOTION)
that's why people call it EMOTION which means ENERGY in MOTION and flow in-form of thought impulse
We fall in love because everyone does
~I fall in love everyday but not with...
poor people work, rich people network.
rich people play money game to WIN but poor people play money game NOT TO LOOSE
~robert kiyosaki~
Do what needs to be done now because time will never be just right
~napoleon hill~
Nimeipenda post hii ya leo hongera mkuu mleta post hii
.made in mby city.
Kwanini aje kiranga,EMT au kongosho?
Kwamba wewe hauwezi ku generate 3D yako mwenyewe?
Kwani wao wakija au wakija watasaidia kubust uwezo wako wa kufikili?
Acha uvivu wa kufikilia mkuu kwenye post za maana kama hizi
.made in mby city.
Vipimo vya kisayansi alivyo pimwa nguli wa hesabu na fizikia baada ya kufariki dunia ambaye katika maisha yake hakuwahi kuwa karibu na mwanamke zaidi ya mtoto wa dadaake vilionyesha hakuwahi kukutana na mwanamke kimwili.
Swali ni je SIR ISAAC NEWTON WAS'NT perfect man, because he never knew a...
Mkuu naomba upunguze jazba, hawa watoto wa siku hizi hawana jipya zaidi ya kuweka ushindani kwenye vitu visivyo na msingi na ndio maana mimi huwa nawashauri waende kuuza sura na watoto wenzao kule facebook siyo hapa jf the home of great thinker
.made in mby city.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.