Kiukwel ni hali ambayo haivumiliki na kama ukitaka kuvumilia jua wewe unaendekeza upuuzi.ukiwa na mpenzi wako popote pale hata kama ni kanisani ni lazima ajue nini umuhimu wako kwa wakati huo.inapotokea anashindwa kulielewa hilo jua hakueshimu,hii ni dharau bwana.mimi nasema hivi hata kama mkeo...
Nina mpenzi wangu,mpaka sasa simuelewi na kila ninalofikria kummfanyia naona halinimtoshi.mwaka 2004 tulikuw wapenzi,tukaachana ktk mazingira yeye mwenyewe kaamua.mwaka 2007 akaomba turudiane kiukweli nilimpokea kwa moyo mmoja nikampenda zaidi ya mwanzo.sasa kazingua tena hana sababu yyte ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.