Watakuwa wamefanya makosa makubwa Chirwa bado ana umri mdogo, and is very promising player. Wakuacha hapa walikuwa Tambwe /Niyonzima na Twite. Tambwe hana msaada wowote katika mechi za kimataifa, Niyo umri umekwenda na ni mchezaji wa kufurahisha watazamaji. Hii game moja haiwezi kufuta makosa...
Kwa hiyo haao wanaopanga kinyume na katiba wako safi/sawa? Umesikia Msumii, amekiri, kuwa ni sauti yake. Tuwe, wakweli, pamoja na mapungufu yake Manji,lakini jamaa kaifanyia mengi Yanga. Kzi kila mtu unaiona, hamna wizi wa kijinga jinga tena. Wewe tuabie unataka/mnataka nini?
Hivi kweli ukimtazama Mkude unaridhika kabisa kuwa ni mchezaji bora wa kucheza nje ya Tanzania? jamani tuwe wakweli, magazeti yetu yanawapaq sifa ziszo na maana.
Hivi huyu Mwinyi siyo tamaa ya MADARAKA, yaani wao wakiona Unguja kimenuka wanakuja kufanya FUJO bara, huu ni upuuzi unatakiwa kuwa defined kwenye katiba
Kwanza si kweeli Bbarca walimuuza Zlatan kwa PSG,ukweli nni kuwa Zlatanaliuzwa kwa Ac Milan. Kuhusu wachezaji wa kigeni, uweppo wao kuna faida kubwa na mja ni hii, inawafanya waachezajiwzawa, kuujituma na kupambana ili kupata namba, a kuacha kubweteka. seaon iliyopita tuliona jinsi Msuva...
Hivi kweli mnashangilia Simba kumchukua Kiiza? mtu hajacheza season yote, na wala hamjui kiwango chake? hapa kuna matatizo makubwa na kamati ya usajili ya Simba.
Mako ameongea mambo ya msingi kabisa, huwezi kusafisha Ufisadi, uwajibikaji, na rushwa katika serikali kabla ya kusafisha kwenye Chama. Wengine wanakwepa hilo, badala yake ooh, nachukia ufisadi na rushwa. Bi mkubwa FF, karibu ufturu kwangu leo, kama hutajali.
Hajajibu lolote, kuna maswali mengi saana, hivi mlio karibu naye mnaonaje mkimshauri, aitishe press conference ili watu wawe huru kuja kumuuliza? kuna tuhuma pia akiwa katibu mkuu wa Nishati, alikuwa akitumia vibaya wadhifa wake, wakupeleka tenda kwa kijikampuni alichokuwa akimiliki yeye na Prof...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.