Mama Dkt. Gwajima D Tafadhali huduma za IVF zifikiriwe ziwemo kwenye kitita kikubwa cha bima ya afya, gharama za IVF ni kubwa na zinatesa. Kwa sasa ukienda kv Dar IVF bima kubwa haipati kibali utazungushwa hadi ukome. We need your intervention. Kukosa mtoto ilhali technology inaweza kusolve na...
Ukristo hauzuii mtu kuwa tajiri. Usipotoshe wenye imani yetu tupo.
SOMA: Kumbukumbu la Torati 8:17-18
Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo. Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara...
Daladala zisirudi zinasababisha foleni sana Dar es salaam. Jamaa wa daladala ndiyo sababu namba moja ya jam asubuhi na jioni sababu ya kuegesha nje ya vituo vyao na kusimama pasiporuhusiwa. Mwendokasi iboreshwe.
Tena nimeshukuru sana kuona ujenzi wa mwendokasi umeanza Ubungo Mwenge-Posta na...
Businesses zote sasa hivi zinazungumzia Uchina. Hapa tunazungumzia mega global businesses kuanzia hao kina Tesla, DP World, Apple, Electric car manufacturers, mega mining projects zote zikiwamo za madini ya betri na elektroniks nk
Ukisoma vizuri between lines utaona uzi unatumia uendelezo, which means the West iko kwenye hatua za kuanguka...hao jamaa sasa hivi hata ku service miundombinu yao tu wameanza kushindwa...wana fund sana military activities wamejisahau kujenga chumi zao...East haipambani na vita ila wao West...
dominance yao inakwenda kuonekana very soon na sidhani hata Dollar kama itarudi kuwa na nguvu kama ilivyokuwa hapo kabla. Imagine ni mwaka naa sasa dollar haipatikani mtaani na uhaba wake upo maeneo mengi duniani. The West is falling.
Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia kwa sasa "global economic activity center of gravity " unajiegemeza bara la Asia hasa mataifa ya Uchina, Indonesia na India pamoja na Falme za Kiarabu. Hakuna ubishi tena kwamba enzi au zama za umangimeza wa nchi za Magharibi umeshafikia mwisho.
Nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.