Wewe una chuki na waislam, watu wamesema boda boda ndo walimpa wewe unasema waislam wana choko choko usitafute la moyoni mengine tuache tuyahifadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa kuna mtu ana uwezo wa kuleta mzigo Zanzibar alete, ni biashara ambayo hautajuta. Ikiwa pia hauna ndugu, jamaa au rafiki mimi najitolea ila nitakupa mtu maana mimi niko busy na kazi zingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za majukumu ndugu zanguni wa bara kote kwa ujumla.
Uzi huu ulipotea kiasi fulani ila napenda kuwauliza tena wale ndugu zangu wanaotoka mkoa wa Tanga vipi mishe zinaendeleaje kuhusiana na nazi?
Nimefufua tena uzi huu baada ya kuona nazi zimekuwa adimu na kupanda bei sana kisiwani...
Tatizo sio kula nje kuna kitu nyuma ya pazio rekebisha uone kama utakatazwa. Mbona mimi nakunywa supu mara kibao na namuaga na pia sijawahi kufanyiwa hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.