Watanzania ni nidhamu na upendo wa uoga, kukosa financial security ndio inatufanya tuwe karibu, lakini angalia tukishapata hela maisha yanakuwa kama Kenya.
Kuna sababu ya kufika dukani kusema unaomba zaidi ya kwamba unajua kesho utakopa? Au kusalimiana na kila mtu muda unapata wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.