Mimi ninachojua ukiteswa sana mwisho wa siku yale mateso unayaona kama maisha yako ya kawaida ..ndio hali waliyo nayo sasa hivi watanzania
Mungu awasaidie hawa ndugu zangu wa tz
Secta ya Kilimo na Uvuvi lazima ipate watu wa matokeo sio watu wa bla bla kama ulega na wasaidizi wake maana ni secta zilizobeba maisha ya watu hasa wa wakaida kabisa.
Ulega, naibu wake hawatoshi kabisa katika hiyo wizara ya mifugo na uvuvi hasa uvuvi bora wakina mpina na magufuli walijaribu kuonyesha mwanga..uvuvi haramu umewashinda kudhibiti pia usimamizi wizarani ni mdogo kutokana upungufu wa watumishi hasa maafisa uvuvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.