Search results

  1. pmwasyoke

    Ushauri: Ndugu wameharibu ndoa ya dada yangu

    Akubali hali ya usingle mother - maisha yasonge. Na nyie mjifunze kuwa makini mnapoamua kuishi na mke wa mtu, ili athari kama hii isijirudie huko mbele.
  2. pmwasyoke

    Kufungua kituo cha radio kinagharimu kiasi gani?

    No Mkuu. They do not always win. Only sometimes.
  3. pmwasyoke

    Waziri wa Elimu: Shule zinazoongoza kwa ufaulu za binafsi haziruhusu mikutano ya wazazi

    Acha watu wasomeshe watakavyo - nawe mpeleke mwanao pale utakaporidhika.
  4. pmwasyoke

    Rais Dkt. Hussein Mwinyi amejipanga kwenye nini??

    Kawaida - watu wa Mkuranga wako poa.
  5. pmwasyoke

    Kamati ya maadili hatari kuliko zote Tanzania ogopa sana

    Kwangu mimi nyuki ndio balaa zaidi. Nilishuhudia jeshi la nyuki likimsululubisha mtu pale Shelui 2008. Hatimaye alipumnzika kwa amani.
  6. pmwasyoke

    Aliyebuni tutembee kwa miguu miwili alikusudia nini?

    Ukijaaliwa umri mkubwa kabisa uwezekano ni mkubwa kwamba utarudi kwenye kutambaa. Kuwa mvumilivu.
  7. pmwasyoke

    NATO hii inayotumia bajaji ndio yakupigana na Russia

    Kama vipi waombe msaada kwetu maana tuna vibajaji si haba!
  8. pmwasyoke

    Ni umri gani mtu akifikisha bila ya kumiliki nyumbani aachane tu na mpango wa kumiliki nyumba

    Kama unaweza kupanga nyumba upendayo ya kuishi familia hadi wazazi .utakapokufa na hadi wanao wote wajitegemee, sio lazima ujenge.
  9. pmwasyoke

    Ujumbe wa Tundu Lissu kuhusu Hayati Ally Hassan Mwinyi

    Hapo lugha haina shida Mkuu.
  10. pmwasyoke

    Israel isijidanganye

    Hata kwetu hapa Tz hakuna wa kuja kuitoa kijani madarakani daima dumu!
  11. pmwasyoke

    Angellah Kairuki: Tanzania tunapoteza takribani eneo la misitu hekta 469,000 kila Mwaka. Upandaji wa miti ya Mianzi utaleta tija

    Wangepambana na kushusha kabisa bei ya gesi ya kupikia ili matumizi ya kuni na mkaa yaishe, hasa katika miji, ingesaidi sana kuokoa misitu.
  12. pmwasyoke

    Mgawo wa umeme kufika Ikulu kesho Jumapili 18.02.2024

    Tena TANESCO ndio huenda wanazitunza jenerata hizo ili kuhakikisha umeme siku 365 huko.
  13. pmwasyoke

    Kwanini dada poa wengi style yao ni kifo cha mendezi

    Mende sijui kakosa nini anatamkiwa kifo kila mara!
  14. pmwasyoke

    Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

    Mimi ni wa 1950s. Bado napenda sana muziki na tamthilia kwenye TV. Nadhani bado uzee haujanikolea!
  15. pmwasyoke

    TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

    Bora umetusahau sisi wa 1950s
  16. pmwasyoke

    Maji ya tanki kuwa machungu

    Maji ya mvua yasipowekwa chlorine (mfano waterguard) huingia aina za wadudu/fungus na kuharibika haraka, hata rangi aghalabu hugeuka kijani fulani. Ukiongea a watu wa idara ya maji utapata ushauri jinsi ya kuhifadhi maji ya mvua, na namna ya kupata hizo dawa zenye chlorine. Ukiyatreat hivyo...
  17. pmwasyoke

    Nimemtukana Baba Mkwe kimakosa: Natamani kukimbia mkoa, nimechanganyikiwa

    Hata hivi kiujumla humheshimu na humpendi huyo mkweo. Eti "Amebugia miwali mpaka nikakimbia ......"
Back
Top Bottom