mhu jamani michuzi kaweka eti karibia watu saba wameshakufa sababu wamepelekwa wakiwa mahututi,pia msongamano ni mkubwa kupita kiasi,mi naona serekali ingeingilia kati kusaidia watu na huyo mzee,sasa wiki mbili hujamuona babu na watu wanazidi kwenda si balaa hilo,Mungu ambariki huyo babu azidi...
uo uvimbe unaitwa fibroids ni common sana kwa wanawake weusi,wapo wanawake wengi wanapata watoto bila kuudistabu chakula chake kikubwa ni oestrogen mwanamke akiingi menopause uvimbe unanyauka .kuna ambao unaota ndani ya kizazi na mingiine nje ya kizazi.kuna docta mzuri sana mwanza anaitwa dr...
ahaa sasa nimeelewa,kumbe ile post ya kabao kamoja na kujamba jamba na kuambiwa kama kidume onyesha nyumbani kwako kwanza ndio iliyowaboa ndo maana tuka........ dada wa watu ama kweli ukweli unauma.au sio ivyo?
apart from kwamba ni goffer number one duniani,there is something serious wrong!!!jamaa anakiusaiko fulani.ukisikiliza mazungumzo yake unaona kabisa kuna kitu kina miss.bora dada wa watu kapata kimshiko chake na kaanza watoto watakua tu,kuna faida gani ya kulea watoto bila amani ,upendo na furaha.
muhimbili wanakitengo,wanaangaliwa vizuri sana na dawa bure,unapimwa hizo cd4 kila baada ya mwezi sikumbuki vizuri,ila cliniki yao bomba sana wanasaidia mno kiushauri na dawa za hapa na pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.