wana enjoy sana tu mkuu, ingia youtube uonewanavyo hamasisha wenzao waje kuishi Tanznia au Africa. Wanasema maisha ni raisi mno bei za vyakula na kodi za nyumba ni cheap sana kulinganisha na hook kwao.
Ndio wapo kibao sana tu hasa maeneo ya Kigamboni na Mikocheni, mi najua Wamarekani wengi weusi wanahamia Afrika kwa hiari yao na mapenzi ya kuipenda Africa. Wapo wengi Zaidi Ghana na Ethiopia nasikia. Kwa East Africa ni Tanznia na Kenya
she might be very aggressive and bit silly, lakini kuna Ujumbe kidogo kwenye maandiko yake especially katika issue ya dini. Lakini ki ukweli DINI zimetufanya watumwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.