Hiyo pointi namba 3 ya kuwa Dr sio mzima... ina walakini. macho yake na gesture yake ni ya kawaida tu. Mwisho wa mnada alihojowa na akaongea vizuri tu kama mtu timamu. Pointi hapa ni aidha alilenga kuharibu mnada. Lakini kuhusu utimamu wa akili huwezi kuzungumzia kwa kuatazama hiyo clip pekee
Leo lazima aijue id yako maana umesema wewe ni mwalimu na umetaja biashara yako na Jina la biashara yako. So, mpaka hapi atakuwa ameshajua ID yako na historia yako.
Si umeongelea mazingira ya bar...!! Unajua mtu akishagonga chupa kadhaa plus vile vitaa vya rangi humo bar.. kila mwanamke anamwona mzuri, anaamua kubeba. asubuhi pombe zimeisha kichwani na mwanga wa jua upo, akimtazama huyo malaya unakuta hata yeye anashtuka na haamini kama ndo mwanamke...
Huyo binti bado mdogo, mfundishe nini maana ya maisha, umuhimu wa binti kuwa na tabia njema. Pia mueleze hatari zinazomkabili kwa kutazama porn. Vile vile jaribu kufuatilia wapi anapata hizo CD, yaweza kuwa kuna jamaa wana mfukuzia hivyo wanatumia mbinu ya kumpandisha nyege na kumfanya azoee na...
Kweli kabisa mkuu. Sasa unakuta mtu ana kibamia halafu anaparamia wanawake wenye mabwawa anategemea nini kama sio kuambiwa nikikohoa kanatoka.
watafute taipu yao. Mbona kuna wanawake wana papuchi ndogo na ambayo inatoshana na kibamia. Tena unaweza sahau kwamba una sijui kibamia.
Habari wanabodi.
Nakumbuka nikiwa mdogo nilipenda filamu za action. Unakuta Staring kawindwa na majambazi, wanampata, wanammiminia risasi zakutosha, wanalipua gari lake. Baada ya muda unamwona stelingi anatoka akijikongoja kwenda kutibiwa. Anapona na anaanza kulipiza kisasi kwa maadui wake. Hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.