Kila uteuzi unakataliwa,
Watu kutwa kulalamika kwanini fulani kateuliwa, hawezi!
Mngetaka nani ateue au ataeuliwe kushika nyadhifa zinazotakiwa kujazwa ili mridhike?
Ati walioteuliwa hawana uwezo.Mmejuaje ilhali ndiyo kwaaanza wameteuliwa tu?
Kwanini wasipewe nafasi wakaonyesha wameshindwa...
Ukipewa utakataa? Sema ukweli!
Tatizo nilionalo mimi pia ni wivu kuwa kwanini fulani kapata na siyo mimi, au kwanini siyo ndugu yangu kateuliwa?
Akiteuliwa baba/mama yako utamshauri akatae kwa vile hawezi??
mPEEEEE aelewe.
Teuzi zote zinakataliwa.Sasa ni nani anatakiwa?
Nani ateue ili watu waridhike? Nyie mnaolalama mkipewa pia mtajikataa kuwa mmeteuliwa na dhaifu hivyo hamfai?
MAJANGA!
nimekusoma..ila najiuliza maswali pia:
Ukishafaidi sifa hizo za mume wa mtu, binti uliyewekwa kimada hatima yako inakuwaje pale utakapochokwa?
Na je ukishazoea vya kunyonga, vya kuchinja utaviweza ?
WANAUME MBONA MMEKUWA WAKALI SANA WAKATI MNAPEWA USHAURI?
mbona kila mara mnaleta threads za kuwashauri wadada/wamama jinsi ya ku- handle wanaume?
Lara kuwaambieni ukweli imekuwa nongwa? Mitusi na kashfa za nini?
Kumbukeni kila mtu ana haki ya kuwa na maoni yake binafsi.Every idea/opinion is...
inategemea your idea of a bathroom.
Siyo kila choo na bafu lazima iwe mtindo huo.
Kuna bathrooms nyingine zina process oriented facilities kibaooo.Utatenganishaje?
Vyoo na mabafu ya uswazi au very basic bathrooms kweli yafaa kutenganisha
Mjadala wa katiba mpya una mambo mengi yenye kufikirisha.
Muundo wa serikali tatu nao uangaliwe vizuri isije siku moja watu wakajuta!
Zanzibar wanapodai uwiano wa 50/50 kwenye madaraka na vyeo, kwanini hawadai 50/50
kuchangia kwenye majukumu na gharama?
Leo wanadai kuwa Mkuu wa majeshi atoke pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.