Search results

  1. Tausi Mzalendo

    Kama ni huyu mbakwaji na kapuya, kapuya is innocent, kabisaaa!

    Atakuset vipi kama na wewe huna elements za umalaya? Unaacha kufuata wakubwa wenzio mnatafuta dezodezo kwa vitoto. Mkubwa mwenzio atakutoa kamasi ehh?
  2. Tausi Mzalendo

    Kapuya umejidhalilisha wewe na family yako wapaswa kuwaomba watanzania Radhi

    Ulimuona akikenua? Mkewe ulitaka afanyeje? Mbona unamtukana mke kwa dhambi ya mume?
  3. Tausi Mzalendo

    Kapuya umejidhalilisha wewe na family yako wapaswa kuwaomba watanzania Radhi

    Nimechekaje! Ulivyoiweka is so funny!!! Ila ukweli umeusema vizuri sana
  4. Tausi Mzalendo

    KOVA: Mhe. Kapuya HANA Kosa la kuojiwa ni mambo yake binafsi

    Na gari aliyoipeleka na kuitelekeza nyumba kwa watoto wale ilikua ya nini? Je wafanyakazi wa mahoteli aliyokuwa anambaka huyo mtoto si wapo?
  5. Tausi Mzalendo

    KOVA: Mhe. Kapuya HANA Kosa la kuojiwa ni mambo yake binafsi

    Mashahidi si wapo? Mkewe anaweza kuthibitisha maana mzee kazoea michezo michafu kwa watoto wa watu..mke ni shahidi nambari wani
  6. Tausi Mzalendo

    Upande wa pili wa sakata la alhaji professor Athman Kapuya

    hili zee jinga sana! Lione sura yake.inasemekana bungeni ni ngono tu kutwa mara tatu......aibu!
  7. Tausi Mzalendo

    Give them a break! Kwanini watu wanakataa kila anayeteuliwa?

    Kila uteuzi unakataliwa, Watu kutwa kulalamika kwanini fulani kateuliwa, hawezi! Mngetaka nani ateue au ataeuliwe kushika nyadhifa zinazotakiwa kujazwa ili mridhike? Ati walioteuliwa hawana uwezo.Mmejuaje ilhali ndiyo kwaaanza wameteuliwa tu? Kwanini wasipewe nafasi wakaonyesha wameshindwa...
  8. Tausi Mzalendo

    Napinga uteuzi wa Prof. Sifuni Mchome kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu

    Ukipewa utakataa? Sema ukweli! Tatizo nilionalo mimi pia ni wivu kuwa kwanini fulani kapata na siyo mimi, au kwanini siyo ndugu yangu kateuliwa? Akiteuliwa baba/mama yako utamshauri akatae kwa vile hawezi??
  9. Tausi Mzalendo

    Napinga uteuzi wa Prof. Sifuni Mchome kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu

    mPEEEEE aelewe. Teuzi zote zinakataliwa.Sasa ni nani anatakiwa? Nani ateue ili watu waridhike? Nyie mnaolalama mkipewa pia mtajikataa kuwa mmeteuliwa na dhaifu hivyo hamfai? MAJANGA!
  10. Tausi Mzalendo

    Wanaume siku hizi wamekuwa kama wanawake ushauri

    ulitoa wapi hilo zigo? Kuzaa umelizalia pia?
  11. Tausi Mzalendo

    Mabinti Kuwekwa Nyumba ndogo tatizo nini?

    nimekusoma..ila najiuliza maswali pia: Ukishafaidi sifa hizo za mume wa mtu, binti uliyewekwa kimada hatima yako inakuwaje pale utakapochokwa? Na je ukishazoea vya kunyonga, vya kuchinja utaviweza ?
  12. Tausi Mzalendo

    Washauri wa JM Kikwete

    ulitaka ashauriwe na nani?. Weye washauriwaga na nani vile?
  13. Tausi Mzalendo

    Waume Zetu Wa Ki Africa, Jifunzeni Kupenda Wake Zenu, Msikomalie Culture Stigma! TIMES ARE CHANGING!

    WANAUME MBONA MMEKUWA WAKALI SANA WAKATI MNAPEWA USHAURI? mbona kila mara mnaleta threads za kuwashauri wadada/wamama jinsi ya ku- handle wanaume? Lara kuwaambieni ukweli imekuwa nongwa? Mitusi na kashfa za nini? Kumbukeni kila mtu ana haki ya kuwa na maoni yake binafsi.Every idea/opinion is...
  14. Tausi Mzalendo

    Waume Zetu Wa Ki Africa, Jifunzeni Kupenda Wake Zenu, Msikomalie Culture Stigma! TIMES ARE CHANGING!

    bora!mateso ya ndoa yangekuwa na mwisho nisingejali kuchezewa
  15. Tausi Mzalendo

    Watu wanaopenda kukaa chooni muda mrefu: Ushauri plz

    inategemea your idea of a bathroom. Siyo kila choo na bafu lazima iwe mtindo huo. Kuna bathrooms nyingine zina process oriented facilities kibaooo.Utatenganishaje? Vyoo na mabafu ya uswazi au very basic bathrooms kweli yafaa kutenganisha
  16. Tausi Mzalendo

    Baadhi ya Watanzania waishio nje ya nchi ni wazito linapokuja suala la Mageuzi ya Tanzania

    kuishi ughaibuni na kupanuka kifikra.... naomba ufafanuzi.
  17. Tausi Mzalendo

    Waume Zetu Wa Ki Africa, Jifunzeni Kupenda Wake Zenu, Msikomalie Culture Stigma! TIMES ARE CHANGING!

    Nitachagua kuchezewa mara milioni kuliko kuolewa na kuteswa! Ukichezewa angalau unapata kitu fulani hata kama ni faraja ya moyo.
  18. Tausi Mzalendo

    Zanzibar tugawane nusu kwa nusu kila kitu

    Mjadala wa katiba mpya una mambo mengi yenye kufikirisha. Muundo wa serikali tatu nao uangaliwe vizuri isije siku moja watu wakajuta! Zanzibar wanapodai uwiano wa 50/50 kwenye madaraka na vyeo, kwanini hawadai 50/50 kuchangia kwenye majukumu na gharama? Leo wanadai kuwa Mkuu wa majeshi atoke pia...
  19. Tausi Mzalendo

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    Kweli aisee..Mungu wa huyu Shehe siyo mungu wa wapenda amani.Wapenda amani, Hawawezi kuwa waumini wa Mungu wa huyu shehe.
Back
Top Bottom