Asante Mkuu kwa hii picha, Jinsi jamaa alivyo na sura ya hovyo kama meno na maneno yake, itabidi ni i print ili watoto wangu wakianzia kulia niwatishie kwa picha ili wanyamaze.
Hata kama itakuwa hivyo hapajaharibika kitu.Si unajua pale kwenye jimbo la Lisu wanamwita ,,Ighamba". yaani ni lile dume la ng'ombe. Kwa hiyo sasa hivi hata wakirudia uchaguzi CDM watashinda kama vile kumsukuma mlevi.
Magamba walijua hiyo ndio maana wakaamua kumchelewesha kwenye kesi isiyokuwa na kichwa tumbo wala miguu.Yupo singida kwenye kesi waliomfumfungulia.Shame on Magamba's.
Wanampenda kwa wali na nyama ya ng'ombe anazogawa wakati wa kampeni, halafu ng'ombe wenyewe huwa ananunua walikaribia kufa kwa ungonjwa wa malale baada ya kuumwa sana na mbung'o.Si unajua tena pale uswahili umejaa kazi kunywa kahawa tu,,Munio wake mkonongo usuu".
Acha hiyo tu huyu ni waziri mkuu bomu ambaye hajawahi kutokea TZ. Angalia hii pia.
Nanukuu: Pinda alisema inabidi posho za wabuge ziongezwe kwani wapo wabunge ambao mwisho wa mwezi hawabaki na kitu, kwani fedha zao zote za mishahara zimekatwa kulipia madeni waliyoingia kwa ajili ya kusaidia...
Mkuu Rejeo naona huyo Rais wa mkoa amechanganyikiwa kwa sababu anaongea vitu bila kufanya utafiviti,SGD kuna sehemu mahindi yankubali kwelikweli ,ntakutajia baadhi tu ni kama ,Ilongero, Mtinko, Mpambaa, na Iambi ukija wilaya ya manyoni sehemu kama Heka,Nkonko,Mpapa na maeneo mengine. Ndio...
Waugwana Tafaadhali hebu tujiuganishe tufanyane kitu cha kueleweka.Hapa nilipo nina hasira karibu roho ipasuke.Kwani inanikumbusha nilipokuwa singida nikakodi teks kunipeleka stendi mara tax driver akasimamisha nje ya stedi kwa kwa maelezo kwamba hapa ni shortcurti kufika kwenye basi ,lakini...
Mwita nilianza kuona umebadilka kumbe ni bomu namna hii!!! Maelezo mengi yakowapi??Ama kweli ukitaka kumumuibia Mtanzania Mwanzoni weka maelezo mazuri katikakati weka vipengengele vyako na mwisho muwekee maneno matamu halafu malizia na signature..Ndio maana tunaiingizwa mikenge kwenye mikataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.